milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
MPINA anaanzia pale alipoishia Bungeni, Sasa anawakumbusha Serikali, katika kujitetea waliahidi IGA yenyewe italetwa Bungeni kabla ya Utekelezaji, kwanini wapi kimya??.
Hata Ahadi yao wenyewe wameivunja??
Mzee Wassira Sasa hapa utamtetea nani?.