Acha kutisha watu Beira kaongea ukweliUna mwanasheria au na wewe unataka free beira boy.........rekebisha kauli zako........mjini hapa..........ngoja wakuone wasioonekana na kujulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutisha watu Beira kaongea ukweliUna mwanasheria au na wewe unataka free beira boy.........rekebisha kauli zako........mjini hapa..........ngoja wakuone wasioonekana na kujulikana
Mi sijamtisha kwanza hata sihishi huko kwa miaka 9 sasa......ila najaribu kum kumbusha kuwa hayo mapicha yake ya dp na kauli zake asije kulia liaAcha kutisha watu Beira kaongea ukweli
Hotuba ya nani,? Bibi wa Taifa kuzungumza Jana?Hivi kumbe hotuba jana ilikuwa inamjibu Mpina?
Eeeh alisema wanakopa kuleta maendeleo na sio kushona sare za harusiHotuba ya nani,? Bibi wa Taifa kuzungumza Jana?
Sawa sawa yana mwisho mlea hovyo majuto humkuta yeye na jamii yakeEeeh alisema wanakopa kuleta maendeleo na sio kushona sare za harusi
Mara zote Mpina Huwa ni mropokaji na mpotoshaji Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilikaUhimilivu wa Deni la nje kulinganisha na Pato la Taifa umefikia Asilimia 35.4% Kati ya 40% , hivo kubakisha 4.6% tu kufikia Ukomo Elekezi !!
Kile kiswahili Cha kwamba, Deni letu linahimilika ,sasa kinaenda kufikia Ukomo.
Nyie matapeli mkopo ajili gani?Mara zote Mpina Huwa ni mropokaji na mpotoshaji Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika
Kwa hiyo tuamini maenen ya kuhimilika?Mara zote Mpina Huwa ni mropokaji na mpotoshaji Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika
Kukopa ni lazima .Kwani kukopa kuna shida gani?Kwa hiyo tuamini maenen ya kuhimilika?
One this gov anasema deni linakua, mpina anasema limebaki asilimia chache. Tukope tuuu just bcause limebaki asilimia chache?
Mpuuzi wewe. Huyu Mama kanunua ndege nyingine tatu, kaunganisha wafanyabiashara wengi wazalendo na wale wa kigeni.Huu ujinga wote tumeletewa na huyu mwanamke
Kazi kuzungusha shanga kwenye ndege alizonunua Magufuri
Kukopa si lazima, hakuna sheria duniani inasema hivyo. Narudi pale pale kwenye technicality , hii kauli ya deni ni himilivu si ngeni? But reality ni nini? Imebaki asilimia chache tufikie ceiling?Kukopa ni lazima .Kwani kukopa kuna shida gani?
Kukopa hakuhitaji sheria ni takwa na hitaji la maendeleo.Kukopa si lazima, hakuna sheria duniani inasema hivyo. Narudi pale pale kwenye technicality , hii kauli ya deni ni himilivu si ngeni? But reality ni nini? Imebaki asilimia chache tufikie ceiling?
Hatuwez jiendesha bila mikopo?
It 2025 kuna muafrika anaamin eti kuendelea mpaka ukope 🤣🤣, ndio maana tume stuck aiseKukopa hakuhitaji sheria ni takwa na hitaji la maendeleo.
Ukitaka kuendelea lazima ukope.
Sio swala la kuamini ni swala la namba na facts na kanuni za Uchumi.It 2025 kuna muafrika anaamin eti kuendelea mpaka ukope 🤣🤣, ndio maana tume stuck aise