Pre GE2025 Luhaga Mpina: TBC inadharau Bunge kwa kukatisha matangazo Mubashara ya Bunge na kurusha warsha na ziara za viongozi

Pre GE2025 Luhaga Mpina: TBC inadharau Bunge kwa kukatisha matangazo Mubashara ya Bunge na kurusha warsha na ziara za viongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
kwa siku za hivi karibuni hadi Bunge linakatiwa matangazo ya moja kwa moja (live coverage) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na chombo hicho kujiunga na kuripoti matukio ya warsha, makongamano na ziara za Viongozi.

Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Rais akiwa ni sehemu yake usingetegemea Shirika la Umma la TBC kudharau shughuli za Bunge.

Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Rais akiwa ni sehemu yake usingetegemea Shirika la Umma la TBC kudharau shughuli za Bunge.

Aidha kipekee niipongeze sana Kampuni ya Azam Media ambayo mtandao wake unazidi kusambaa kila siku na kuzihudumia nchi jirani za Kenya, Uganda, Zimbabwe na Malawi.

Lakini pia jambo kustaajabisha AZAM Tv ambacho ni chombo binafsi lakini kinalipa heshima na uzito unaostahili Bunge la Tanzania kwa kurusha matangazo ya moja kwa moja (live coverage) bila kukatakata kuanzia kipindi cha maswali na majibu saa 3 asubuhi hadi saa 7 kamili mchana.

 
Bwana'ke alizuia bunge lisioneshwe kabisa hakusema kitu si afadhali sasa.
 
Aliwahi kuhojibqakatu wa magufuki kurusha bunge kukifungiwa kabusa.

Leo Channel kibao za youtube zinarusha live, kwani ni lazima mtu atazame tbc?

Punguwani wahed.
Tafadhali Bi FaizaFoxy, nani ambaye ana uwezo wa ku stream online? Mabando yanakata bila mpangilio na vocha zimepanda bei. Hivi kwann hii awamu ya Sita inachezewa hivi?
 
Nafikiri TBC wako sahihi. Leo nimelazimika kuanalia TBC kuaniza kipindi cha maswa kwa waziri mkuu hadi michango ya wabunge katika bajeti ya wizara ya ujenzi, naona wako sahihi kuonyesha vitu vingine badala ya Bunge.

Ni mchango wa Prof Muhongo pekee kati wachangiaji wa saa nnne nilizotumia kuangalia ndio uliokuwa na mantiki.

Bunge hili hakina sifa ya kuitwa hivyo ni mkusanyiko wa watu wasioelewa wamekwenda kufanya nini, ndio wamejazana.

Jambo zuri ni kwamba idadi ya wasio hidhuria nj kubwa kiasi unajiuliza ili kikao kifanyike kunahitajika idadi ipi ya wabunge?

NB: Ujumbe wangu kwa taasisi za Umma acheni kuwalazimisha wateja wenu kuangalia channel mnayodai ya umma, hata kama vipindi vyake havifai.
 
Kwa nini hakuhoji wakati wa Mwendazake?
Anataka nini kwa Samia?
 
Kweli mzigo mzigo mpe msukuma au mnyamwezi bro hujadoma tuu alama za nyakati?
 
kwa siku za hivi karibuni hadi Bunge linakatiwa matangazo ya moja kwa moja (live coverage) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na chombo hicho kujiunga na kuripoti matukio ya warsha, makongamano na ziara za Viongozi.

Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Rais akiwa ni sehemu yake usingetegemea Shirika la Umma la TBC kudharau shughuli za Bunge.

Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Rais akiwa ni sehemu yake usingetegemea Shirika la Umma la TBC kudharau shughuli za Bunge.

Aidha kipekee niipongeze sana Kampuni ya Azam Media ambayo mtandao wake unazidi kusambaa kila siku na kuzihudumia nchi jirani za Kenya, Uganda, Zimbabwe na Malawi.

Lakini pia jambo kustaajabisha AZAM Tv ambacho ni chombo binafsi lakini kinalipa heshima na uzito unaostahili Bunge la Tanzania kwa kurusha matangazo ya moja kwa moja (live coverage) bila kukatakata kuanzia kipindi cha maswali na majibu saa 3 asubuhi hadi saa 7 kamili mchana.

Mpina aache kusaka kiki za kijinga. Wakati Magufuli anazuia bunge live ili watu wafanye kazi mbona hakuongea? Sasa hivi hatuna mpango na hilo bunge kibogoyo, ndio Mpina anajitokeza kujiliza bunge lionyeshwe. Asipoteze muda wake, kwa Sasa hilo bunge la majizi ya kura halina mvuto.
 
Lakini pia jambo kustaajabisha AZAM Tv ambacho ni chombo binafsi lakini kinalipa heshima na uzito unaostahili Bunge la Tanzania kwa kurusha matangazo ya moja kwa moja (live coverage) bila kukatakata kuanzia kipindi cha maswali na majibu saa 3 asubuhi hadi saa 7 kamili mchana.
Nilikua na Wazo ili kuondokana na hizi sintofahamu basi Serikali ianzishe vituo vifuatavyo

Bunge TV
Bunge Radio
Bunge Online Digital

Vikianzishwa HIVYO vituo vitasaidia TBC kupumua

Ili wale wote wanaotaka kuona masuala ya Bunge wakiingia kwenye hivyo vituo inakua rahisi zaidi na hakutakua na lawama tena kwa TBC
 
Aliwahi kuhoji wakati wa Magufuli kurusha bunge kukifungiwa kabisa.

Leo Channel kibao za youtube zinarusha live, kwani ni lazima mtu atazame tbc?
Mpuuzi tu.

Kama TBC wamekata kidogo, anasema analidharau bhhunge.

Je alie kataa kufanya live coverage tuseme kalifanya nn, Kalibaka au ?
 
Mpina aache kusaka kiki za kijinga. Wakati Magufuli anazuia bunge live ili watu wafanye kazi mbona hakuongea? Sasa hivi hatuna mpango na hilo bunge kibogoyo, ndio Mpina anajitokeza kujiliza bunge lionyeshwe. Asipoteze muda wake, kwa Sasa hilo bunge la majizi ya kura halina mvuto.
Mpina mjinga Magufuli alikuwa sahihi.kuzuia bunge live

Kile ni kikao Cha kazi hakihitaji media

Wananchi wanataka outcome ya Hilo bunge sio kuuza sura kwenye TV

Wabunge wengine huchangia ti kisa wanaona kamera za Tv wanaoongea ujinga mtupu

Ili wawe serious Spika awaambie Kabisa kuwa bungeni hakuna chombo chochote Cha habari Cha kuripoti wanayoongea
 
Back
Top Bottom