johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kule Bunge la JMT akisimamia mbunge wa Kisesa mh Mpina kila mtu anatega sikio kutaka kumsikiliza atakachoongea
Na huku Uswahilini Tundu Lissu akisimama mkutanoni mfano Mwembeyanga daladala, bodaboda nk hupaki pembeni ili wamsikilize
Ndio najiuliza wawili hawa ni wazalendo kweli kweli au ni plea bargaining tu?
Watanzania Siyo Wajinga by JPM
Na huku Uswahilini Tundu Lissu akisimama mkutanoni mfano Mwembeyanga daladala, bodaboda nk hupaki pembeni ili wamsikilize
Ndio najiuliza wawili hawa ni wazalendo kweli kweli au ni plea bargaining tu?
Watanzania Siyo Wajinga by JPM