Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umejikatia tamaa hivyo?šššHiyo mbinu ishapitwa na wakati, wananchi tushaichoka. Na wanasiasa wote tumewachoka sio chama tawala wala hao wenzao upinzani.
Yani nisikufiche wananchi tumewachoka woteeeee.!! Ni basi tyuuu hatuna la kuwafanya. Ila wote tumewachoka. Hao wanaowasapoti ni wanufaika wenzao šššMbona umejikatia tamaa hivyo?ššš
Upinzani wa serikali dhalimu mara zote upo moyoni vyama vya siasa vina mamluki wengi .Yani nisikufiche wananchi tumewachoka woteeeee.!! Ni basi tyuuu hatuna la kuwafanya. Ila wote tumewachoka. Hao wanaowasapoti ni wanufaika wenzao ššš
Unaweza kushangaa hao wapinzani ni matawi yao, wapo kutufanya watoto.!! Mi ndiomana sina chama.Upinzani wa serikali dhalimu mara zote upo moyoni vyama vya siasa vina mamluki wengi .
Au tusimame na chauma tule ubwabwa?Unaweza kushangaa hao wapinzani ni matawi yao, wapo kutufanya watoto.!! Mi ndiomana sina chama.
Huyo ndio tatizo kabisaa anawasifia CCM kuwaita na kuwapa posho kwa kuwashindisha juani ili Nchi ionekane ina democracy šššAu tusimame na chauma tule ubwabwa?
Daa kweli umetusanuaHuu unaweza kuwa ule mchezo wa kujifanya amefukuzwa chama ili akawe mpinzani fake kama Membe. Tumeshaiona hii pichaš„²
Mwambie ukweli huyu chawa hajielewi!Huko kwenu sukari shillingi ngapi??
Kwamba Mpina atajiunga na chama kingine? Alafu apewe nafasi ya kuwa mgombea nafasi ya Rais? Hilo sidhani kama litatokea, kiufupi zama sasa zimebadilika na hiyo ni mbinu ya kizamani.