Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Hivyo vyama bado vipo hai? Hatakama vipo lakini sio rahisi Mpina kuhamia hukoAnaweza kutumika kupunguza kura tu za upinzani kuna vyama vya CCM kama CUF na NCCR mageuzi tusishangae Mpina ni mgombea huko