Luigi Mangione mtuhumiwa wa mauaji ya bosi wa bima ya afya atiwa nguvuni

Luigi Mangione mtuhumiwa wa mauaji ya bosi wa bima ya afya atiwa nguvuni

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hii ni taarifa isiyotajwa sana katika vyombo vyetu vya habari nchini.lakini ni tukio linalo-trend nchini Marekani.

kijana Msomi na anayetoka kwenye familia tajiri Ndg.Luig Mangione anatuhumiwa kumpiga risasi na kumuua CEO wa kampuni ya bima ya afya maarufu nchini Marekani Thomson Brian.

Leo hii ametiwa nguvuni baada ya msako mkali wa polisi. maganda ya risasi yaliyookotwa yana maandishi maarufu ya namna mashirika au kampuni za bima ya afya zinavyokandamiza haki ya matibabu kwa wamarekani.

DENY, DEFEND AND DEPOSE!!
Hivi karibuni mhe.Rais Samia Suluhu Hassan aliridhia sheria muhimu ya bima ya afya kwa wote ambayo itawezesha wadau mbalimbali kuanzisha mifuko ya bima ya afya.

mauaji ya CEO huyu ni tahadhari kubwa kwetu kama taifa ya kwamba afya ni sekta ya huduma na kamwe isitumike kama biashara ya kujineemeesha zaidi itumike kama huduma

- Bima ya Afya kwa wote wataalamu msizunguke mbuyu utekelezaji uanze mara moja!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Hiyo ndio namna wenzetu wanavyotafuta asiyejulikana kwa kumaanisha kweli wanafanya uchunguzi! Ndani ya siku chache wamemkamata na hawakua na clue kbs, wale wetu wanatumwa bana na wanajulikana, mengine yote keupe kekundu! Poor my mamaland
 
Ondoa hizi story zako za propaganda zisizo na weledi kwenye hoja za kitaifa.mwambie Mnyika apeleke ushahidi kama anajali
Kwani Mnyika wa US ndio aliopeleka ushahidi mpaka mtuhumiwa akakamatwa?

Ukisifia mfumo wa US, ukosoe na mfumo wa huku.
Usipaniki ndg! Be calm, vumilia sindano.
 
Ondoa hizi story zako za propaganda zisizo na weledi kwenye hoja za kitaifa.mwambie Mnyika apeleke ushahidi kama anajali
Hili jamaa mbona limepaniki namna hii,hili vipi hili😂,litakuwa uaji hili..limejaa upepo kwa nini...kweli uchawa ni ugonjwa mbaya sana!
 
Back
Top Bottom