Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Klabu ya Simba ya Tanzania imethibitisha kumsajili winga Luis Jose Miquisone kutoka kutoka klabu ya UD Songo ya Mozambique ambayo ndiyo bingwa mtetezi wa ligi kuu ya nchi hiyo.
Kiungo huyo tayari amekabidhiwa jezi yake tayari kabisa kwa ajili ya kuanza kuitumikia miamba hiyo ya mtaa wa Msimbazi.
Taarifa zinaeleza kuwa winga huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Aidha, kwaupande wake Miquissone anaeleza anasema "nina furahia kujiunga klabu kubwa kama simba, natumai nitaisaidia katika mechi zijazo"
Ameongeza kuwa "Nimekuwa nikiifuatilia klabu hii tangi mara ya mwisho nilipocheza nayo katika mechi ya klabu bingwa Afrika. hivyo nina furaha sana kujiunga nayo".
Miquissone anakuwa ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa na klabu ya Simba katika dirisha hili dogo la usajili.
Zaidi Soma:
The Tanzanian giants have moved to sign the winger with their main hopes pegged on winning the league title
Simba SC have confirmed the signing of winger Luis Jose Miquissone.
The Mozambican player has joined the Tanzanian Mainland champions from UD Songo after agreeing to sign a two-year contract.
Simba have confirmed the capture of the player on their Facebook page saying: “We welcome new signing Luis Jose Miquissone and wish him well as he starts his journey with this great club.”
On his part, Miquissone, said: “I am delighted to join a big club like Simba and will look forward to helping them do better in their upcoming matches. I have been following the team since we played against them in the Caf Champions League and I am finally happy to have joined them.”
Miquissone has been unveiled in time and could be involved when Simba take on rivals Young Africans (Yanga SC) in the opening derby of the season at the National Stadium in Dar es Salaam on Saturday.
Last season, Simba took the bragging rights after managing a draw in the first meeting and winning the reverse fixture 1-0 courtesy of a goal scored by former Gor Mahia striker Meddie Kagere.
Miquissone becomes the first signing for Simba this transfer window.
Chanzo: Goal.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiungo huyo tayari amekabidhiwa jezi yake tayari kabisa kwa ajili ya kuanza kuitumikia miamba hiyo ya mtaa wa Msimbazi.
Taarifa zinaeleza kuwa winga huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Aidha, kwaupande wake Miquissone anaeleza anasema "nina furahia kujiunga klabu kubwa kama simba, natumai nitaisaidia katika mechi zijazo"
Ameongeza kuwa "Nimekuwa nikiifuatilia klabu hii tangi mara ya mwisho nilipocheza nayo katika mechi ya klabu bingwa Afrika. hivyo nina furaha sana kujiunga nayo".
Miquissone anakuwa ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa na klabu ya Simba katika dirisha hili dogo la usajili.
The Tanzanian giants have moved to sign the winger with their main hopes pegged on winning the league title
Simba SC have confirmed the signing of winger Luis Jose Miquissone.
The Mozambican player has joined the Tanzanian Mainland champions from UD Songo after agreeing to sign a two-year contract.
Simba have confirmed the capture of the player on their Facebook page saying: “We welcome new signing Luis Jose Miquissone and wish him well as he starts his journey with this great club.”
On his part, Miquissone, said: “I am delighted to join a big club like Simba and will look forward to helping them do better in their upcoming matches. I have been following the team since we played against them in the Caf Champions League and I am finally happy to have joined them.”
Miquissone has been unveiled in time and could be involved when Simba take on rivals Young Africans (Yanga SC) in the opening derby of the season at the National Stadium in Dar es Salaam on Saturday.
Last season, Simba took the bragging rights after managing a draw in the first meeting and winning the reverse fixture 1-0 courtesy of a goal scored by former Gor Mahia striker Meddie Kagere.
Miquissone becomes the first signing for Simba this transfer window.
Chanzo: Goal.com
Sent using Jamii Forums mobile app