NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Waarabu bhana na uchezaji wao ule wa kujiangusha na kulala na mbinu nyiingi, ukizikosea huchezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya hii sio edit hii ni real si umecheki hadi hapo wako mezani wana saini?Uto wakiona hii watafurahi sana,huwa wanapenda sana hizi edit.
Nouma sana,sikuona😂😅Oya hii sio edit hii ni real si umecheki hadi hapo wako mezani wana saini?
Umeniwahi..nilitaka kusema hivyo, atatangazwa soon baada ya kumalizana na namba 6 ChamaAnaenda Yanga
View attachment 2692147
Hersi kaamua kufanya revenge baada ya namba 6 wao kuibiwa airport
View attachment 2692148
Hersi ametu out smart
View attachment 2692149
Kwa wasiojua mambo ya photoshop wanaweza kuiamini habari hii, lakini huo ni uongo mtupu!!Anaenda Yanga
View attachment 2692147
Hersi kaamua kufanya revenge baada ya namba 6 wao kuibiwa airport
View attachment 2692148
Hersi ametu out smart
View attachment 2692149
Shaka yangu ipo hapoAtakuwa na ubora wake?
Simba wasisajili jina, wasajili kiwango.
Lakini kama bosi keshatetemeshwa na kuwa huru mchezaji.....
Mpo serious ? Hamuoni hizi ni editing??.
Nawewe umeamin haya mapicha au unafanya malicious propaganda??.Anaenda Yanga
View attachment 2692147
Hersi kaamua kufanya revenge baada ya namba 6 wao kuibiwa airport
View attachment 2692148
Hersi ametu out smart
View attachment 2692149
Hamkutaka kujifunza kwa Makambo na Yanga, halafu uboya zaidi ni kumpa mkataba wa miaka mitatu.Shaka yangu ipo hapo
Herieth Makambo yeye alipotoka RS Berkane alienda FC Lyon ya Ufaransa.Andunje yamemshimda anarudi kwa makolo kama mwenzie chiba.