Luis Miquissone, Konde boy

Luis Miquissone, Konde boy

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
Nyie Simba shukuruni mtacheza na Platinum ya Zimbabwe. Kuna Platinum ingine Africa ya Kusini kwa mzee Madiba mngepangiwa huko huyu dogo msingerudi nae, angebaki huko huko. Hela yangu ya kiingilio ni huyu dogo tu kaitendea haki vinginevyo nilikuwa nimeliwa.

Simba wamecheza mpira mbovu hasa kipindi cha pili kuchelewa kukawa kwingiiii, viungo walikuwa hawatoi pasi za mwisho safi zilikuwa pasi za butuabutua tu mpaka huyu dogo Luis Miquissone akachukia akaamua afanye vitu vya tofauti halafu refa akapeta penalty aliyokuwa amesababisha yeye.

Hivi kweli huyo dogo ni mmakonde? Mmakonde wa wapi? Mtwara vijijni, Tandahimba au Newala? Niambieni ni makonde wa wapi? Nanyamba au Mkonjowano au Mkoti 2?
 
Luis ameondoka katika kundi la wachezaji hatari wakati anafika, kwa sasa anaelekea kua Kama Morrison mchezaji machachari. Simba imecheza na timu ambayo haijacheza mechi yoyote ya mashindano tangu mwezi wa 3 mwaka uu. Ina maana merch fitneess ndio wanaitafuta kwenye mashindano.
 
Kapige punyeto ulale, hii ni knockout stage tunachoangalia ni kusonga mbele. Huo mpira mzuri wambie yanga wakacheze na KMKM kwenye kombe lenu la mapinduzi.
Sasa wewe Simba wamecheza mpira gani? Mashabiki wamerudi na makoo yao hamna wala kushangilia halafu mechi ya nyumbani? Kagere mlimwacha nje wanini? mungenufaika na counter-attack zake ona Bocco alikwa anaotea tu bila Luis Miquissone kuonyesha manjonjo walahi Simba mngerudisha hela zangu
 
Kwao Msumbiji sio mtanzania huyo, UD songo
 
Nyie Simba shukuruni mtacheza na Platinum ya Zimbabwe. Kuna Platinum ingine Africa ya Kusini kwa mzee Madiba mngepangiwa huko huyu dogo msingerudi nae, angebaki huko huko. Hela yangu ya kiingilio ni huyu dogo tu kaitendea haki vinginevyo nilikuwa nimeliwa.

Simba wamecheza mpira mbovu hasa kipindi cha pili kuchelewa kukawa kwingiiii, viungo walikuwa hawatoi pasi za mwisho safi zilikuwa pasi za butuabutua tu mpaka huyu dogo Luis Miquissone akachukia akaamua afanye vitu vya tofauti halafu refa akapeta penalty aliyokuwa amesababisha yeye.

Hivi kweli huyo dogo ni mmakonde? Mmakonde wa wapi? Mtwara vijijni, Tandahimba au Newala? Niambieni ni makonde wa wapi? Nanyamba au Mkonjowano au Mkoti 2?
Atakuwa wa Kwampigamiti au Nanguruwe!
 
Huu ni ushamba na ujinga.Au kifupi utopolo.

Huwezi kusema timu hiyo ni nyepesi timu inayoweza kumfunga Enyimba goli zaidi ya tatu na hata Mwarabu anafungwa zaidi ya tatu.

Pia Nigeria iko juu kisoka kuliko Zimbabwe.Nyie utopolo wasindikizeni bwana zenu airport, wameshatoka
Kiukweli tusipobadilika kwa mpira huu round inayofuata hatuvuki, platinum ni wazuri zaidi ya hawa plateau,wachezaji wanaridhika mapema
 
Chakushangaza jamaa wa Plateau wanawachezaji Wana vitambi kabisa lakini Simba imeshindwa kuifunga pale Taifa.
 
Chakushangaza jamaa wa Plateau wanawachezaji Wana vitambi kabisa lakini Simba imeshindwa kuifunga pale Taifa.
Ndo hivo tunasonga mbele hayo mengine ni bla bla za wakosaji
 
MO tunamuomba huyu kijana ampe kandarasi ya maana na pesa, hata chama akija kutushinda tubakie na dogo anajituma sana
 
Metch❌
Fetness ✅
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Luis ameondoka katika kundi la wachezaji hatari wakati anafika, kwa sasa anaelekea kua Kama Morrison mchezaji machachari. Simba imecheza na timu ambayo haijacheza mechi yoyote ya mashindano tangu mwezi wa 3 mwaka uu. Ina maana metch fetneess ndio wanaitafuta kwenye mashindano.
 
Kiwango chake cha kawaida sana ndiyo maana South alitemwa
 
Mmakuwa huyo....

Mimi si "mnyama" ila mshikaji huyo ANAJUA balaa.....
Jamaa yuko VYEMA....

Simba wajiangalie naye....kwani kila hatua wanayopiga ndiko balaa la KUONDOKA linapoongezeka....🤣🤣
 
Back
Top Bottom