ManaraFungua kidogo code mkuu bwana yupi sijakupata?
Mi nikimuona mtu anazungumsha uchawi ktk soka namuona kama mwehu, na mashabiki wa Simba hii kitu imewakaa sana damuni.Huo uchawi wanarogwa na watu wa nje au wanarogana?
Mtu akiongelea uchawi ktk mpira namuona hajielewi kabisa. Na sijui kwanini mashabiki wa Simba wanaamini sana ktk uchawi.Ulozi ni theory tu , kujituma,politics na viwango vibovu.
EPL, spain na french league, perfoming team kwenye hizo league wanawezaje kukaa top miaka mingi?
Investiment,masilahi, na ushindani wa hali ya juu ndani na nje ya club.
Simba imeingiliwa na mdudu ambae amewarudisha nyuma walipotoka
Ha ha ha ha ha umenichekesha sana.Naamini Miquison atarudi kwenye kiwango chake maana bado ni mdogo ,ila mpaka ajitume hadi ile mafuta iishe,jamaa amerudi kichwa kimekuwa kama duara kwa kunenepa, kanenepa hadi Miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama ndio hivyo inabidi lifanyike Jambo vingenevyo wachezaji wetu wataendelea kupigwa MIBA....Kama yule aubin kramo wanampiga kweliKweli....kipindi kile kapona kurudi uwanja wa mazoezi kaumia Tena hii inanipa mashaka sanaa
Naamini Miquison atarudi kwenye kiwango chake maana bado ni mdogo ,ila mpaka ajitume hadi ile mafuta iishe,jamaa amerudi kichwa kimekuwa kama duara kwa kunenepa, kanenepa hadi Miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bhana,mna mawazo finyu mnoo ndo maana hamuendeleiHapa ngumu kubaini Ila zinaweza kutoka nje na ndani ( kotekote )....unakumbuka ile sakata ya kapombe na mwenda??
Hii karne bado kuna mijitu inaamini ktk ulozi.Braza amini nakwambia isingekuwa silaha aliyoipeleka kule wasingekuwa tayari kumpokea. Sawa ameenda kula pesa sikatai. Jamaa alileta mtaalamu wa mambo ya utamaduni pale mtaa wa Msimbazi, kama unafuatilia Simba kipindi cha nyuma walikuwa wanafanya kinachofanywa na nyuma mwiko sasa hivi (kutoa misaada kwa watoto yatima, wazee na makundi maaalum mengine). Ndio maana alikuwa anasemaga Simba itachukua ubingwa 10 years back to back.
Sio mbaya na WW ukatoa mawazo yako mkuuWabongo bhana,mna mawazo finyu mnoo ndo maana hamuendelei
Atakua anamzungumzia mzungu wa mtumba.Fungua kidogo code mkuu bwana yupi sijakupata?
Atakuwa mtoto wa ' kompyuta' au?Atakua anamzungumzia mzungu wa mtumba.
Mpenja alishawahi kusema '' usimkatie mtu tamaa "Ameisha hana jipya tena
Hamjajifunza kwa onana na ayubu pamoja na kibu denis yule bado ni mchezaji mzuri.Ameisha hana jipya tena