Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Katka maisha kuna kitu kinaitwa kulizika ikifika hio stage kila kitu unaona normal nahutamani kufanya kitu kingine zaidi na huna shauku kufikia kitu kingine kwakua umelizika,kwangu mm he need to do what he was doing before go back to basics train hard and wait for the opportunity
Kulizika kuna raha na ubaya wake. Kuridhika kwenye kazi result moja wapo ndio hii. Kukosa hari, stop kuwa creative, hujitumi tena.
Huyu anahitaj coach wa saikolojia but kile alichonwcho pia kipunguzwe ili akili iamke