babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
- Thread starter
- #21
umezaliwa lini kwanzaNani umeelewa jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umezaliwa lini kwanzaNani umeelewa jamani
Kwasababu rangi nyeusi kwa kawaida hufubaza rangi nyingine zote, jaribu kumulika rangi yoyote kwenye pahala peusi hutopata hakisi nzuri ya mwanga.😂🤣Umekunywa chai?
By the way ni kwa ninj mtu mweusi huwa ana mashusha sana mweusi mwenzie?
Hujaelewa hata nilichoandika hornet,soma sana urudie dear utaelewa sijamshusha mtu ni hapo nimekaa nikaskia vitu vya ajabu na vi online tv vya bongo nikabaki nawaza tu km ingekua kweli.na nilichoweka ama kusema ni maisha mi nilipitia miaka hiyo live.Umekunywa chai?
By the way ni kwa ninj mtu mweusi huwa ana mashusha sana mweusi mwenzie?
ndo tunakwenda sawa jomba mwaga story ,huku lockdown huko hamna corona 😅Hapa kila mtu apige stori zake ili twende sawa