Lukaku na Pogba ni watumishi hewa wa Man Utd

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Hawa jamaa hela walizonunuliwa na wanachokicheza uwanjani ni vitu viwili tofauti. Rejea mechi ya Super cup.

Hasa huyu Pogba anaigharimu sana timu kwenye mechi kubwa. Mou asipoangalia tabia yake ya kuendelea kumkumbatia Pogba itagharimu kibarua chake Man Utd.

Lukaku is an average player for average team. Man Utd walihitaji straika wa kariba ya Lewandowski kinyume na hapo Lukaku awasubiri kuwafunga Burnley au West Brom.

Ni mtizamo tu.
 
Sawia kabisa....!!

Wala hujaongea Majungu, wachezaji hawa ni Wapumbavu kabisa....(kwa sauti ya Mukulu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…