Luke Marklin: CEO wa Bellhops Moving aliyemzawadia gari yake binafsi (Ford Escape) mfanyakazi mpya aliyetembea zaidi ya miles 20 ili awahi kazini

Ili awe role model, awe mfano kwa wengine nao waige na kuwasaidia wenye shida.

Huenda amekusudia hivyo.
CCM tumejiandaa kufanya kampeni za kijeshi nchi nzima usiku na mchana nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda Tutawashawishi wananchi wampe Magufuli ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
 
Huyu bwana mdogo hakuwa na nauli au alitaka kujimwambafai?

watu wenye magari huwa wanajisahau sana,kuna jamaa alitoka kwake amevaa boxer huku anaendesha gari,kufika njiani gari ikazima na hana hata tsh mia.alikua amevaa boxer na vest
 
watu wenye magari huwa wanajisahau sana,kuna jamaa alitoka kwake amevaa boxer huku anaendesha gari,kufika njiani gari ikazima na hana hata tsh mia.alikua amevaa boxer na vest
Hapa hapa Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…