Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa WA ki-TANESCO KigamboniUnits 28 kwa siku na matumizi ndio hayo?
Mkoa gani upo mkuu?
Toka tarehe 22/12 umeme unapenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Pole sana au friji limekuwa bovu.Mkoa WA ki-TANESCO Kigamboni
31.12.2023 niliweka wa 20,000 (56 units) Jana tarehe 02.01 umeishaPole sana au friji limekuwa bovu.
Nipo kigamboni pia, Sizimi friji, Taa za nje 6 bado za ndani, pasi, tv, na tangu nimeweka unit 56 ni wiki imeisha sasa na hazijaisha
[emoji15] 20,000 napata unit 10 tu31.12.2023 niliweka wa 20,000 (28 units) Jana tarehe 02.01 umekata
Sorry, 20,000 napata units 56[emoji15] 20,000 napata unit 10 tu
Mfumo unashida imeingia,31.12.2023 niliweka wa 20,000 (28 units) Jana tarehe 02.01 umekata
56 units huwa unatumia kwa mda gani, wiki moja au zaidi?Pole sana au friji limekuwa bovu.
Nipo kigamboni pia, Sizimi friji, Taa za nje 6 bado za ndani, pasi, tv, na tangu nimeweka unit 56 ni wiki imeisha sasa na hazijaisha
Zaidi ya wiki moja56 units huwa unatumia kwa mda gani, wiki moja au zaidi?
Matumizi makubwa, yaani 40k haimalizi mwezi..Zaidi ya wiki moja
Unit 56 zinakaribia kabisa kumaliza mwezi japo nitanunue nyingine lile wiki la mwisho.56 units huwa unatumia kwa mda gani, wiki moja au zaidi?
40k inamaliza mwezi na wiki kama mbili za mwezi ujao mkuuMatumizi makubwa, yaani 40k haimalizi mwezi..
Fair enough!40k inamaliza mwezi na wiki kama mbili za mwezi ujao mkuu
Kama luku yako inakula umeme, ni kwanini usiipe na maji ikanywa?Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV