Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Sio Mchezo.Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mchezo.Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Hizo unit natumia miezi 4 na nina pata hizo kwa 9000 tuPole sana au friji limekuwa bovu.
Nipo kigamboni pia, Sizimi friji, Taa za nje 6 bado za ndani, pasi, tv, na tangu nimeweka unit 56 ni wiki imeisha sasa na hazijaisha
Friji mpya,zile hisense zenye dispenser ya mchongo,naona inanizingua tu,maana kipindi iko nawasha 24 hrs unit ndio zilikua zinaenda balaaSasa wewe ndio unatumia umeme mwingi, mimi 4units x 30 = 120units kwa mwezi, sawa na 40k hadi 50k, usizime fridge hasa kama lina upya bado(coz ukizima na kuwasha ni kama unalipa kazi upya na litakula umeme zaidi)
Halafu mtu anasema et anafuta shule za bweniHili tatizo watu wengi wanalilalamikia.
Asubuhi nilikuwa nasikiliza Clouds watu wanalalamika hadi mtangazaji akahojiwa hadi meneja wa Tanesco.Alichosema huu mwezi watu matumizi yamekuwa mengi kwakuwa wengi wapo nyumbani na watoto wako likizo hivo matumizi yamekuwa mengi.
Hii nikutokana na malalamiko ya watu wengi kwa huu mwezi units kutumika nyingi kuliko miez mingine
Ulisoma walau physics ya fom2? Au ulikimbia?Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Ni kweli kabisa. Yaani hawa akina Makamba sijui waliacha nini TANESCO, yaani wizi mtupu. Hata mi juzi tu nimenunua luku kibao ila nimekuja kushangaa eti unit zimebaki kidogo. Wanasheria mtusaidieToka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Kwanza kata bima ya nyumba haraka sana. Pili muite fundi akague wiring ya nyumba yote pamoja na vifaa vyote vinavyotumia umeme, inavyoonekana kuna shoti ya umeme kubwa sana inayosababisha umeme kupotea. Kumbuka bill ya umeme inatokana na jumla ya umeme unaotumia(active power) na umeme unaopotea(reactive power). Kama hakuna shida kwenye wiring ya nyumba au vifaa vinavyotumia umeme basi cheki na tanesco wakague mita yao. Hili tatizo ni kubwa sana chukua hatua mapema na usipuuzie la sivyo utaunguza nyumba yako.Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Wewe kama Mimi tu,panga boi 3 na friji,umeme Kwa mwezi ni 60,000Panga boi 3,nje taa 8,friji aliwashwi mara kwa mara,kwa umeme wa elfu 60 kwa mwezi unavyodhani ni fair enough au kina shida sehemu?
Mara nyingi fridges ndio zinaumiza, unakuta fridge tu inakula 2-3units kwa siku,hapo bado TV, feni, pasi, majiko na vifaa vya jikoni, taa etcFriji mpya,zile hisense zenye dispenser ya mchongo,naona inanizingua tu,maana kipindi iko nawasha 24 hrs unit ndio zilikua zinaenda balaa
Mimi NgombaruUlisoma walau physics ya fom2? Au ulikimbia?
Unit 28 per day ziishe! Hapo hapana kwakweliIla siyo kwa kiwango cha units 28 kwa siku kwa hivyo vifaa alivyoorodhesha na ukizingatia mgao mkali uliopo.
Unit 28 per day ziishe! Hapo hapana kwakweli
Wee friji lako bovu ebooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]31.12.2023 niliweka wa 20,000 (56 units) Jana tarehe 02.01 umeisha
hapana sio kawaida nenda tanescoToka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Nyumba yako ima miaka mingapi toka ijengwe? Tatizo limeanza lini?,Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV
Angalia meter yako ina balance ya unit ngapi za Luku, andika pembeni Kisha zima main switch na circuit breaker Kwa lisaa limoja halafu washa, then Angalia balance ya meter yako ya luku ukiona unit zimepunguwa basi hapo umeme una leakage sehemu, ita fundi akufanyie check up.Toka tarehe 22/12 umeme unaenda kwenye luku sio poa. Wastan wa units 28 Kwa siku Kwa nyumba ya kutumia balbu 5 na friji, TV