Ulitutangazia na tukakuona kwenyeTv ukisema kuwa process/procedure zote za umiliki wa ardhi ( kiwanja/viwanja) zitamalizwa na mkoa (ulianzisha ofisi za ardhi kwa baadhi ya mikoa) bila kwenda Dar/ Moshi/Mwanza kwenye kanda kama taratibu za zamani zilivyo kuwa.
Leo naona bado utaratibu wa zamani unaendelea kwa watu kwenda Moshi/Dar/Mwanza etc.
KUNANI Mh?
Leo naona bado utaratibu wa zamani unaendelea kwa watu kwenda Moshi/Dar/Mwanza etc.
KUNANI Mh?