Mtenda akitendwa inakuwa nongwa. Lipumba alipiga kampeni msikitini. Hilo sijui kama kuna waliokemea
Nimesikia Waziri Mkuu anamkingia kifua as if aloyatamka Lukuvi ni suala dogo halina shida kabisa, kwa maana nyingine Muh. Pinda (Waziri Mkuu wa nchi, ambaye Lukuvi ni waziri wake) ana-suprt yalosemwa.
Hawa jamaa bwn.