Lulu ajifungua mtoto wa kiume...

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Habari za chini ya kapet zinasema, mcheza filamu mwenye mvuto wa aina yake, Elizabeth Michael (lulu), amejifungua kwa operation katika hospital ya saifee, unaambia katika hospital hiyo kwa siku wanatoza 1M, kweli lulu kabarikiwa, Mungu ampe nini mtoto wa watu, mume tajir, ana mtoto dah
 
Wewe utajifungua lini?
 
Kumbe Majizzo alisubiri kwanza ili asiuziwe mbuzi kwenye gunia
 
Nimependa kitu kimoja....

Huyu mtoto kapevuka mno kiakili sasa kama inafika hatua kajifungua na magazeti hajaandika au mitandao kuchafuka ....

Bro, kapata mke bora
Hiyo ndio maana halisi ya "mke bora" anaejua privacy anaejua nn chakuweka public

nini cha kutulia nacho ndani, huwa sipendi hata wanaoanika vitumbo vyao public

yani mtu hata mtoto hajatoka unaanza ringishia watu tumbo,Lulu kawa mkubwa "kichwani"
 
Tafuteni hela acheni kufuatilia Hadi mimba za wanaume wenzenu
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu

πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒ
Elimu Ni Bure Sasa Ndugu Zangu Mfyatue Tu
Tena Waziri Sitaki Kusikia Kupanga Uzazi Kwenye Awamu Yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…