Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kuzunguka kuna uhusiano gani na kuzaa kwa operation, Kwamba ameshindwa ku push kuna sehemu inapitisha upepo?Amezunguka mno, kuzaa kwa op ilikuwa na uwezekano mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzunguka kuna uhusiano gani na kuzaa kwa operation, Kwamba ameshindwa ku push kuna sehemu inapitisha upepo?Amezunguka mno, kuzaa kwa op ilikuwa na uwezekano mkubwa.
Kuzunguka kuna uhusiano gani na kuzaa kwa operation, Kwamba ameshindwa ku push kuna sehemu inapitisha upepo?
Hivi wewe na smart hamjapata bado mtoto?Hongera zake sana
Lkn marehemu kanumba nae bana alikafumua katoto huko chini fumuuu!! bila huruma??? jitu lilisha komoana na akina Wema sepetu hukooo!! Mwee!! hata km alikuwa na kibamia wkt mwingine tuwege na huruma!!Lulu alivuna alichopanda kwa mujibu wa sheria, lakini upuuzi wa eti mama Kanumba sijui anapitia hali gani it's a bloody bull crap.
Kanumba alikuwa akibaka, kufanya mapenzi na msichana(mtoto) wa umri chini ya miaka 18 ni kubaka(rape/child molestation) kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Hivyo huyo mama Kanumba acha aendelee kufaidi machungu ambayo chanzo cha msingi ni ubaradhuli(child molestation) uliokuwa ukifanywa na mwanae kwa Lulu.
Kila mmoja avune stahiki yake.
Yaani!!!!Maisha ya mwanadamu mafuta, miaka 30 tu tena hajafikisha bado he is gone,. Inasikitisha
Saifee ni hospital mpya mkuu ndio analeta upinzani kwa Aga Khan kwa sasa, go and try.....Aga khan ndio excutive hospital hapa Tanzania.. mpinzani wake ni muhimbili tu. Sababu pia wana vip service ambayo ni expensive sana.
Aga khan huwez ifananisha na hospital yoyote hapa Tanzania.. ukitoa muhimbili
Aga Khan ni wezi tu kama wezi wengine, mwanangu alilazwa siku 6, tulisaini bill ya million 14, Dr aliyemtibisha mtoto akasema tumpeleke bill aone kilichoandikwa ni sahihi baada ya kuikagua zilipungua kama million 2 hivi, na wakikuona una bima ndio wanakupiga balaaKcmc ndo the best in Tanzania kwa Sasa hiyo aga Khan inaizidi kwa kipi freshman
That's the beauty of online anonymity, you can role play or be anyone you dream to be, real or imagined..filthy rich or squeak clean pauper to the extreme stretches of your imagination.Baba / mama/ kaka vidole havilingani kama wewe milioni ni nyingi ni kivyako na kama wewe ukiongwa au kama unaishi kwa kuongwa crown ni wewe sio mimi Tuheshiame I don’t drive Japanese cars , And I have never even drove one ,Kua na adabu
milioni sio nyingi kwangu yess , ajabu ni nini ? Hacha wivu kwa Waliokuzidi tafuta hela uache kulia lia kwenye mitandao elfu kumi za miamala kuongezeka
Unamuuliza marehemu!!!We umezaa mtoto gani?
That's the beauty of online anonymity, you can role play or be anyone you dream to be, real or imagined..filthy rich or squeak clean pauper to the extreme stretches of your imagination.
Aga Khan ni wezi tu kama wezi wengine, mwanangu alilazwa siku 6, tulisaini bill ya million 14, Dr aliyemtibisha mtoto akasema tumpeleke bill aone kilichoandikwa ni sahihi baada ya kuikagua zilipungua kama million 2 hivi, na wakikuona una bima ndio wanakupiga balaa
So you in your make-believe world, you only drive bimmers and mercs? Is that what you mean?Baba / mama/ kaka vidole havilingani kama wewe milioni ni nyingi ni kivyako na kama wewe ukiongwa au kama unaishi kwa kuongwa crown ni wewe sio mimi Tuheshiame I don’t drive Japanese cars , And I have never even drove one ,Kua na adabu
milioni sio nyingi kwangu yess , ajabu ni nini ? Hacha wivu kwa Waliokuzidi tafuta hela uache kulia lia kwenye mitandao elfu kumi za miamala kuongezeka
Ndio. Maandishi yanaishi na uzi bado uko wazi.Umepata hela Ya bundle Leo ukaona uje ufufue uzi