Kuna mambo mengi hupelekea madaktari waamue mwanamke azae kwa kisu...Kaogopa kuzaa kwa njia ya kawaida?
Kuna mambo mengi hupelekea madaktari waamue mwanamke azae kwa kisu...
Kwa kifupi tu maanuzi hayo huweza kuwa ni ya muda mrefu au mfupi kulingana na afya ya mama na mtoto aliye tumboni...
Kuna wakati mwenendo wa ujauzito hubadilika zile dakika za mwisho na maamuzi huwa ni kumtoa mtoto kwa kisu kuepuka madhara kwa mama na mtoto...
Kcmc ndo the best in Tanzania kwa Sasa hiyo aga Khan inaizidi kwa kipi freshmanBinafsi nimefika mpaka apollo health city. Sijajifungua kariakoo..ndio maana nikakuuliza bugando na kcmc wanazizidi muhimbili ama agakhan dar kwa lipi? Hili swali bado hujanijibu. Unahamisha mada.. badala ya kujibu swali kwanza
Aga Khan huo u VIP wake sijauona wala! I’ve went there thrice nilikuwa na mgonjwa wa kumtolea damu! Kupewa tu majibu ya blood group ilikuwa shughuli mambo hayaeleweki ma staff wanademka demka tu mpaka nikaaga maana nilikuwa na shughuli nyingi za kufanya.Aga khan ndio excutive hospital hapa Tanzania.. mpinzani wake ni muhimbili tu. Sababu pia wana vip service ambayo ni expensive sana.
Aga khan huwez ifananisha na hospital yoyote hapa Tanzania.. ukitoa muhimbili
Hospitali bora kwa sasa ni Muhimbili na KCMC tu! Tena kuna wati wengi nawafahamu wanatokaga bongo na kwenda kujifungulia Moshi KCMC.Kcmc ndo the best in Tanzania kwa Sasa hiyo aga Khan inaizidi kwa kipi freshman
Freshman kwanzia ameaajiriwa hpo kwa msaada wa wahindi kwa kaya masikini Basi anaona hpo ndo kila kituAga Khan huo u VIP wake sijauona wala! I’ve went there thrice nilikuwa na mgonjwa wa kumtolea damu! Kupewa tu majibu ya blood group ilikuwa shughuli mambo hayaeleweki ma staff wanademka demka tu mpaka nikaaga maana nilikuwa na shughuli nyingi za kufanya.
Narudia, Lulu alikua ni kischana kadogo kadogo kalikoanza Umalaya na uhuni kama ambavyo Paula wa Kajala alivyo sasa.Aliyoyapitia Lulu kama ungekua wewe ungeshajinyonga, acheni chuki za kijinga nyie wavulana wa jf yaan huu uzi ukiusoma wavulana ndio mmecomment kwa chuki sana,
Tafuteni hela acheni kusambaza chuki kwa mtoto wa mwanaume....
Ulimwemgu ulimfunzaMapito aliyopitia yamemuimarisha.
Na pengine alipopita ndiyo ilikuwa njia ya mafanikio yake...Ulimwemgu ulimfunza
Mambo ya kujitakia
Mamake alisaidiwa na ulimwemgu
Case closed
Hongers kwake
Kwa hii Essay ni wazi una Sonona,Narudia, Lulu alikua ni kischana kadogo kadogo kalikoanza Umalaya na uhuni kama ambavyo Paula wa Kajala alivyo sasa.
Sasa nadhan amekua kidogo akili..
ACHENI KUTETEA UPUMBAVU WA MTU UNAOTAKANA NA UJINGA WAKE MWENYEWE .
wewe leo hiii ukiamua kua kamalaya, utakua right??? Baadae uache ,utulie
Hivi nawewe utaanza kusema Nimepitia mapito mengi jaman ,niachen tu???
Kama kufungwa, ilikua nilazima afungweee hata miaka mitano ... Wed unadhana Ma Kanumba, kuondokewa namtu alokua anamsaidia mpaka leo anajihis vipi???
( sawa hatujui kilichotokea, lkn yeye km mtuhumiwa kwanza, nilazima awajibike ktk kupooza hisia zauchungu za mama ndugu aa Jama)
Yalobaki yoteeee, yalitokana na Uoumbavu wake,.
KUNA BINADAM NI WAPUUZI SANA, WANAPOFANYA UJINGA, UNAOWAPELEKEA WAPITIE KIPINDI CHA MATESO, HUANZA KUTUPIA LAWAMA WENGINE .
sija finalize! kwasababu najua binadamu hubadilikaUtakuja kumkataa uyo bakiza maneno
Lulu alivuna alichopanda kwa mujibu wa sheria, lakini upuuzi wa eti mama Kanumba sijui anapitia hali gani it's a bloody bull crap.Narudia, Lulu alikua ni kischana kadogo kadogo kalikoanza Umalaya na uhuni kama ambavyo Paula wa Kajala alivyo sasa.
Sasa nadhan amekua kidogo akili..
ACHENI KUTETEA UPUMBAVU WA MTU UNAOTAKANA NA UJINGA WAKE MWENYEWE .
wewe leo hiii ukiamua kua kamalaya, utakua right??? Baadae uache ,utulie
Hivi nawewe utaanza kusema Nimepitia mapito mengi jaman ,niachen tu???
Kama kufungwa, ilikua nilazima afungweee hata miaka mitano ... Wed unadhana Ma Kanumba, kuondokewa namtu alokua anamsaidia mpaka leo anajihis vipi???
( sawa hatujui kilichotokea, lkn yeye km mtuhumiwa kwanza, nilazima awajibike ktk kupooza hisia zauchungu za mama ndugu aa Jama)
Yalobaki yoteeee, yalitokana na Uoumbavu wake,.
KUNA BINADAM NI WAPUUZI SANA, WANAPOFANYA UJINGA, UNAOWAPELEKEA WAPITIE KIPINDI CHA MATESO, HUANZA KUTUPIA LAWAMA WENGINE .
Hiyo ni bei ya private room, achilia mbali matibabu binamu, sio mchezo... hospital yenyew c mchezo, sio kina kajamba nan wakizalia aga khan wanajiona ma don
hiyo bugando na kcmc inazizidi aga khan dar ama muhimbili dar kwa lipi?
Agakhan bei ya C Section inaenda hadi 6MilHiyo ni bei ya private room, achilia mbali matibabu binamu, sio mchezo... hospital yenyew c mchezo, sio kina kajamba nan wakizalia aga khan wanajiona ma don
Daaaah i've went there thrice [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji310][emoji310][emoji310][emoji310]