Lulu ajifungua mtoto wa kiume...

Lulu kaokolewa na majizo...kamtuliza na

kumshepu..

Lakini ndio wale wale...

Akuwe kweli sasa..

Majizo kidume hongera kaonyesha mfano

wa kudhibiti mtoto mzuriii..katulia na hela

iwepo lakini..
 
Mbona gharama kubwa hivyo?

Ulikuwa ni ugonjwa wa kawaida au ni magonjwa yenye kuhitaji vipimo vikubwa
Vipimo vikubwa na operation pia, tulilazwa siku 6, room per day ni laki 3......
 
Pole xna ram njo kcmc hakuna bili za kijingajinga
 
Reactions: ram
Nimependa kitu kimoja....

Huyu mtoto kapevuka mno kiakili sasa kama inafika hatua kajifungua na magazeti hajaandika au mitandao kuchafuka ....

Bro, kapata mke bora
Kwahyo paper limevuja mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…