Lulu ameachwa na Majay?

Mi najiuliza Tu, hivi ikija kugundulika kweli Kuna virusi vya Zika nchini Tanzania. Yule mama atarudishwa kazini? Najiuliza Tu lakini...
virusi vinaweza kuwepo,tatizo hakufuata taratibu kutangaza
 
Mnaoleta habari za zika huku muache usengerema JF DOCTOR hampajui?
Mwl kama vipi tutengue uteuzi wao wakuwa wana JF Celebrity...teh teh teh.............wanakera sana wana haribu uzi.
 
Kwani Zika ndo nn mm ninasikia ili neno tangu jana....
kifupi, Zika ni ugonjwa unaoambukiza kwa njia ya ku "vyogolana" yaani ku 'do', inasababisha mimba zinaxotungwa kuadhilika na watoto kuzaluwa wskiwa na vichwa vidogo kuliko udogo wa kawaida!
 
Dr. Mwele Atumbuliwa Cc: W. J. Malecela
[HASHTAG]#justice4lema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BBBenAlive[/HASHTAG]
 
Zika [HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]

Tuupani taarifa za ukweli za zika

Freemexencemello

Justice for lema

Bring back and alive ben saanane

Zika


[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]

Tuko bz na Zika, BenSa8, Max&Lema


Mi najiuliza Tu, hivi ikija kugundulika kweli Kuna virusi vya Zika nchini Tanzania. Yule mama atarudishwa kazini? Najiuliza Tu lakini...
[emoji115][emoji115][emoji115]MJUAGE KUTOFAUTISHA MAJUKWAA MNANIKERA SANA [emoji41][emoji41][emoji53]
 
Wewe wako yuko wapi?
Ukijua ya Lulu itakusaidia nini?
 
kumbe alikuwa bize na masomo.....kwani hata form iv alifika kweli au ndo elimu za hapa na pale
 
Aachwe ,,,kwani Majay kashafuta ?????
 
Hivi [HASHTAG]#Lulu[/HASHTAG] kesi yake imeishaje
 
kumbe alikuwa bize na masomo.....kwani hata form iv alifika kweli au ndo elimu za hapa na pale
Alifika ndio alipata div 4 ya 33 niliona kuna uzi waliweka matokeo yake
 
Mtt mzur km huyu unamuachaje kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…