Lulu amganda Van Vicker

Lulu amganda Van Vicker

Warumi we huwa unakutana na mastaa mara nyingi,bila ushabiki kweli unaona Lulu ni changudoa,tena muuaji? Jamani hata kumpa au kumtakia kila la heri kidogo?

Nimesema wapi kaua?
 
kwani Lulu anatatizo gani?? mbona mwamshambulia hivi??

Mi naishangaa hii jamii yetu kiukweli,tulifiwa sote na marehemu SK,na hata yeye pia alifikwa na msiba huo,lakini sijui ni kwa nini jamii tena hasa ya kina dada wenzake imemchukia,na hata wengine kufikia hatua ya kumtamani kumla nyama kabisa,yaani wana hasira naye...
 
kinachowaboa wengi mi nadhani ni pozi lake,so wanamdhania kama mtu mwenye maringo sana,na majivuno... otherwise Lulu wa sasa hana vituko vya kumlinganisha na wadada wengi maarufu kwa kweli..
 
Van Vicker ana mke miaka kadhaa sasa. Sijui hii itakuwa imekaaje?!
 
Hivi ile movie ya wema na van vicker imeishia wapi?
Karibu mwaka uishe sasa.Isijekua historia kama ila ya superstar!

Tehe tehe, alipeleka movie asili/majaaliwa, jamaa akaigiza kweli, bibie kairudisha home anaiendeleza kugawa kuongeza idadi. Endeleeni kupiga hesabu tu
.
.
7. Kanumba
.
.
11. Charles Baba
.
47. Diamond
.
Endeleeni
 
kwani Lulu anatatizo gani?? mbona mwamshambulia hivi??
Nyepesi nyepesi zinasema kuwa izrael anammaind yule demu so ukijipendekeza unabadilishiwa tarehe ya kifo!
 
Rip van kwa kweli! Naona huyo baba hajipendi..... ! Run van runnnnnn!
 
Back
Top Bottom