Lulu ampora bwana Hamisa Mobeto

Lulu ampora bwana Hamisa Mobeto

Lulu mshirikina ndo mana anao date nao lazima Wang"ate gunia. Unafikiri show off zote za insta good life atalipata wapi ka sio kutafta wakumuweka mjini

Basi kuna kitu...kung'ata gunia!!! Ndo nini??? Ama ndo zile scandal za kuwa kila anayemlamba Lulu nowadays anakwenda na maji???
 
Duh yule jamaa ameachana na hamisa??? Poor her ndo maana sahivi anajichanganya zake viwanja mara dubai mara wapi kumbe anatoa stress.... Pole zake, ila lulu nae kavalishwa Pete ina maana majizo ndo kamvalisha eeh makubwa haya

mmh kama majizo ndo kamvisha pete lulu bas tuhesabu mapemaaa siku za kuishi. tena akahojiwe kipindi cha mkasi kabisaaa
 
Inasemekana hamisa mwenyewe alinyakua bwana wa shoga yake zuhura..... hivyo alie tu..mwanaume mwenyewe mtembezaji


Lulu naona anataka kumrestisha in peace huyo majizo. Hamisa naye kilichomfanya amzalie mtoto mapema mini? Majizo kazaa na wanawake ka wawili. Pole yako hamisa
 
kwa midume ya cku izi ilivokengeuka na mitaro ya maji machafu itakua uyo lulu anawapa huo mtaro.. why agombaniwe ivi
 
Hii misanii mi hata siilewi Mara kavishwa Pete ya uchumba, mara Ana mume mtarajiwa baada ya siku mbili kachukua bwana wa mwenzie, Leo tunaonyeshwa kabatini kuna shati la buzi mara oooo hakuwa wake wa nanihii, mwingine ameongea kingereza kigumu lakini kupigana hawezi basi tafrani tupu kesho tunaambiwa katangaza nchi kweli? Mi hata sijui nani ni nani vurugu tupu
 

Mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto.

MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai kuporwa bwanake aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Lulu.

CHANZO KINASEMAJE?

Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwanake aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa mwanaume pekee aliyemwamini hadi kufikia hatua ya kumzalia mtoto.


Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Lulu.


Ilidaiwa kwamba, jambo hilo Lulu hakulithamini na kuamua kumpiku huku akimuacha akiishia kulalama kila kukicha.

Najua hamuujui mchongo huu. Sasa ngoja niwapashe habari kwa kina. Nimeamini Lulu kweli ni jasiri, maana kwa alichomfanyia Mobeto Mungu ndiye anajua.

PEDESHEE MPYA WA LULU
Huwezi kuamini yule bwana wa Mobeto Lulu kaamua kujiweka kwake, inaweza kuwa ngumu watu kukubali lakini ndiyo ukweli wenyewe.

Unaambiwa mtiti wa Mobeto na Lulu ulianza kama mwezi mmoja uliopita. Walianza kwa kuandikana kwa mafumbo kama waimba taarab kwenye mitandao ya kijamii.

MAFUMBO INSTAGRAM
Nimekutana na rafiki wa Mobeto ndiye kanipa mkanda wote kuwa Lulu kampiku Mobeto kwa bwana?ke ndiyo maana mafumbo hayaishi Instagram.

MOBETO HATAKI KUMSIKIA LULU

Kwa sasa Mobeto hataki kusikia habari za Lulu na ukimuuliza anasema Mungu atamlipia kwani anamshukuru kumtoa huko kwani alipo sasa ana amani tele,? kilidai chanzo hicho.

MOBETO AFUNGUKA MAZITO
Kwa upande wake, Mobeto alipoulizwa juu ya sakata hilo alisema kuwa kwa sasa ana mambo yake mengine hivyo habari za Lulu ingekuwa vizuri akaulizwa yeye na huyo bwanake.

Mobeto alisema kuwa kwa sasa anachoweza kuzungumzia ni juu ya maisha ya mama yake mzazi na mtoto wake kwani hao ndiyo faraja pekee iliyobaki kwake.

Alisema kuwa, hapendi kuzungumzia mambo yaliyopita kwani kila jaribu lina mlango wake wa kutokea hivyo yawezekana yote Mungu aliyapanga akiwa na sababu za msingi.

?Mambo hayo mimi sitaki hata kuyazungumzia kwa sasa, nafikiri ingekuwa vyema ukamuuliza Lulu na ?.(anamtaja huyo mwanaume) kwani wao ndiyo wanaweza kukupa ukweli na kukusimulia kiunagaubaga.

MOBETO AMWACHIA MUNGU
Katika maisha yangu, kwa sasa namwangalia mtoto na mama yangu, hao wakikosa furaha hata mimi siwezi kuwa na amani kwenye maisha yangu, kwani mambo mengine yakishapita hakuna sababu ya kuyaendeleza zaidi namshukuru Mungu.

Kwa sasa nina michongo yangu mipya na siko tayari tena kuzungumzia habari nje ya familia yangu.

Ninachoweza kukuambia ni kwamba maisha yana kila staili ya kuishi hivyo sifikirii tena kuingia kwenye mitandao ya kijamii kuzungumzia habari za mtu kwani hata hao wanaonizungumzia sina muda wa kuanza kusoma comments (maoni) zao wala kuwajibu.

Kwa kifupi sijawahi hata kuona mambo yanayozungumzwa kuhusu mimi kwenye mitandao maana huwa sisomi tena kwani kila mtu ana namna ya maisha aliyochagua.

Hata huyo Lulu na timu zake mimi sina muda wa kusoma mambo yao kwani Mungu ndiye tegemeo langu, alisema Mobeto.


LULU ARUKA MITA MIA

Alipotafutwa Lulu na kupewa taarifa za uporaji wa bwana wa mtu, aliruka mita mia moja kwa kusema kuwa habari hiyo ni mpya kwake na hajawahi kusikia lolote ila ndiyo anaambiwa kwa sasa hivyo kama kuna mtu ana picha zake na huyo bwana wa Mobeto, basi ndiyo anapata taarifa.

Madai haya kwangu ni mapya na siyajui ndiyo mnaniambia kwa mara ya kwanza, sioni sababu ya kulizungumzia, alisema Lulu.



Ila hamisa anajua sana kuto.mbana yuko vzr sio siri
 
Ila hamisa anajua sana kuto.mbana yuko vzr sio siri
Wewe hapo!! Halafu na mwenzio akakupa like!! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom