LULU amzawadia mama yake Nyumba kwenye birthday yake

LULU amzawadia mama yake Nyumba kwenye birthday yake

Hii habari kama ni ya ukweli na hiyo nyumba ameipata kwa jasho lake nampa hongera zake.....kwa kupiga hatua kubwa...kama ni uwongo basi laana ya wadau aliowaongopea itamtafuna kila aendapo...
 
Mkuu... Kama mshua anajua besdei yake lini hebu ita waandishi wa habari umkabidhi bwana. Mie nna mpango huo soon
Hee! Kumbe unaijua! Asije kuwa anatafuta cheap popularity! Hivi niulize kitu jamani ukijenga nyumba kwenu hiyo ni habari??? Mbona kila mtu kajenga kwao?? Sisi watoto wa Kayanza kwetu yumba za udongo na makuti tumemaliza chuo na kuajiliwa ndio unajenga so ni jambo la nikawaida sana everybody does
 
hlo nalo neno, ila akianza kuharisha damu na usaha msianze kumchamba mtoto wa watu, mumuache

Binamu hilo halina mmoja , Unaweza kituliza kwenye Ndoa yako na ukaondoka kwa kuhara vilevile ! Labda uachane kabisa na kujamiiana ndio utakuwa umepona zaidi ya hapo hakuna nje ya wala ndani ya Ndoa wooote wanahara tu ! So bora uhare kwa faida
 
kanumba mwenyewe gwiji wa bongo movie kafa ata banda la nyanya hana sembuse huyo andunje mwenye kaswende mpaka kwenye utumbo

Kaswende kma miaka hii ni ngumu binamu labda kaswende sugu
 
Back
Top Bottom