Lulu apigwa kibuti na kunyang'anywa gari baada ya kuposti picha yupo na bwana mwingine

daaaah naomba kumsikitikia kwa kweli...........kweli anavyosema yuko ndotoni, maana ukiwa macho huwezi waza ujinga kama huu.....labda ni utoto tuuuuu....akikua ataacha
Labda one day atakutana nae...
 
Hiyo ni kweli uzuri unaisha jinsi unavozidi kujitumia ona hata Wema naye kashaanza kukongoroka mvuto wote kwishney bongo movie kwa kujisahau na kufikiri watabaki hivo milele
Yaani kabisa ukiangalia kina Monalisa utafikiri wako same age na Wema kumbe wema ni mdogo sana, sijui nani kawaambia watumike ndio kuongeza umaarufu usio na pesa.
 

kwa heshima naomba kujua jina la uyo tajir wa mirerani
 
Mtu kama Lulu kwa background yake naona bora angesomea marketing ,pr au ishu za media hivi ingemsaidia... ila uko alikoenda mmh sijui ana mipango gani.

Wewe anasomea ivyo aingie serikalini miaka kadhaa utaona ni mbunge...pedeshee ndo kamshauri mkuu....watu wanalenga masilahi....
 
Pedeshee sekioni...yuko jijini arusha ni shiiidaaa huyo baba....katoka na husna maulid rafki wa lulu akavuruga ndo lulu akavuta mahela upande wake mpka leo ushoga mwsho...naskia jamaa karudi kwa husna tena baada ya kuachana na lulu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…