daah kumbe siko pekeyangu nilijua ni mimi tu nisieona huwo uzuri.ni prom tu kubwa na kuongopewa huko inst lakini ni kawaida sana
Ila mimi mwenzetu huyu Mtoto Mbona siuoni huo uzuri wanaomsifia mno...ni msichana wa kawaida sema. Media inampa promo mnoo!
Mkuu mimi huwa nashaangaa sana wabongo wanavyokuwa wanawasifia Hawa watoto...ukikutana nao live wakawaida kweli.
Wakati uswazi kuna watoto wakali Hawana promo!
Tena anachamba kwa nyodo zote , sasa kama alikuwa analala na kuamka nae mbona kamuu mfyuuiu
Ana katumbo kale ka ofa za michemsho, we muangalie vizuri.
Halafu shoga nlikumiss, yani kulipooza humu bora umerudi.
Hahahhha haya banaaa hata mi nilikumiss niliona mnaendelezaa mamboooo humuu kama kawa nimerudii
Yupo lulu, monalisa na joti wanatafuta watu wenye vipaji vya uigizaji ..
kweli wapo kwenye baridi huku ! (green city)
Joti nae lazima apewe ! Labda awe mzembe tu dogo mwenyewe si anagawa bila mzani !
Na asipozimishwaaaa amuoe kabisaaa maana hakaa lol
Sikapendi haka kamtu basi tu sema sikukaumba mimi
Ulirudi lini mpnz? Lulu alikuwa na akili sana class ni km ka genius flani sema kupenda team
ya libolo na u much know Ndo vimemharibia ...mtoto mdogo mambo makubwa. Nilishampiga darasa mahali ktk kuganga njaa na kutekeleza MKUKUTA
Yupo lulu, monalisa na joti wanatafuta watu wenye vipaji vya uigizaji ..
angekuwa na uchungu angem- restisha in peace the great?
Awe mstaarabu hasa sasa watanzania wanajitahid kumpokea na kumtetea arudi kufanya kazi. Akianza kujikweza itakula kwake. Hasa kipndi hizi kesi yake haijatolewa hukumu. Kila kitu chake kinafatiliwa
Mhhhh!!! Wa kawaidaa???? Na wema je?Ila mimi mwenzetu huyu Mtoto Mbona siuoni huo uzuri wanaomsifia mno...ni msichana wa kawaida sema. Media inampa promo mnoo!
Atakuwa anatafuta professional killer
Mbeya kuna wapiga nondo kaka ! Tofauti na Tanzania !
i love youSikapendi haka kamtu basi tu sema sikukaumba mimi