Hivi hata form IV alimaliza yule..?? maana najua alikua anasoma shule Fulani pale nyuma ya Rombo Hotel akafukuzwa akiwa forn II nadhani, baada ya hapo ikawa ni filamu na yeye, yeye na filamu, sijui kama aliwahi kurudi shule. Kama ni kuchukua Telecom engineering anaweza, ila kusomea nina wasiwasi. Kila la heri lakini.