Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

engineering haisomwi tu,,acheni kupotosha watu yani mtu atoke kusoma hr akasome engineering labda ya kwenye chupi,kwa qualification zipi??
 
Acha a some ili aje arekebishe sheria ya mtandao..
 
Acha a some ili aje arejebishe sheria ya mtandao..
Kweli kabisa hata mi nimeona hilo tena nimekumbuka alisoma PCM akapata division one ya point 3 sema tu muda ulikua mchache na alitingwa sana na shughuli zake. Lengo lilikua asomee urubani wa kurusha ndege kubwa za abiria ila sasa kaamua kupiga telecom engineering. Hongera zake.
 
Makubwa kumbe ndiyo module zenyewe za the so-called 'Software Engineering'.

Naomba usidhalilishe software engineers.
Ms Word na Excel ni kwa ma secretary, hakuna software engineer anasoma vitu kama hivi.
 
Mleta mada nadhan kapitiwa anasoma human resource jamani hats Mimi nimesoma Mahala kubwa ni hr hiyo engineering sijui imetoka wapi
 
huyo aliyesema anasomea Human Resource yawezekana yuko sahihi maana alikuwa anasoma foundation ya HR pala TPSC- Magogoni
 
Magogoni hakuna hiyo kozi
Mkuu nina uhakika 100% hiyo kozi magogoni ipo sio kwa kuambiwa na huyo Lulu nimemwona kwa macho yangu sasa wewe sijui nani kakambia hiyo kozi haipo. tafuta namba za chuo piga halafu uulize, labda ifutwe kesho
 
Magogoni ndio wapi.??
Magogoni hiyo hiyo ya anko mtumbaji, opp na OWM nyuma ya Wizara ya ardhi.

ni Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania ambacho kina Matawi Tabora, Tanga, Singia, Mbeya, Mtwara na hapa Dar, kozi zinazotolewa ni Secretarial Studies Cert&Dip, Records Mngt Cert&Dip, Accounts, HR, Librarian na nyingine nyingi. kwa maelezo zaidi tembelea www.tpsc.go.tz
 
heheheheheheh naona wasanii wanaanza kuzidhalilisha hz course sasa, duh labda lakn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…