Mi bnafsi pia huwa namkubal anawashnda hata dada zake kwa skendo chafu(lyk wema)
Kwa kifupi...'Anafaa kuwa mke wa m2"!!
Hapa mie huwa namuona anajielewa, hayo mengine ya kawaida tu na yapo kila sehemuLulu pamoja na mambo mengine lakini anajua jinsi ya kufanya life calculations ambazo wengi zinawashinda, kingine ni kuwa haexpose maisha yake kivile.
Hapa mie huwa namuona anajielewa, hayo mengine ya kawaida tu na yapo kila sehemu