Lulu atimiza miaka 18 - Hongera sana

Lulu atimiza miaka 18 - Hongera sana

Hongera zake! lakini hayo mavazi too much naked.
 
loooooooo!!!!!!!!!!!!!! kwa mabo nisikiyayo anafanya nilidhani yu kwenye ukubwa !!!!!!!!!!!!!!!! Neema ya Mungu ikuokoe!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tafadhali wana JF taratibu jamani bora kumshauri huyu mtoto kuliko kumdhihaki, yangu hayo tu
 
Hakika apewe lakini hatapata shida hataziocha za kila aina c karembo walikuwepo?
 
attachment.php


MHUSIKA katika kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu' (pichani), ameangusha bonge la ‘pati ya bethdei' ya kutimiza miaka 18 inayodaiwa kugharimu takribani shilingi milioni 3.

Tukio hilo lilichukua nafasi maeneo ya Sinza-Madukani, Dar es Salaam Jumapili iliyopita ambapo lilihudhuriwa na ‘mashostito' wa karibu wa msanii huyo.
Chanzo hicho kilitambaa na mistari kuwa, marafiki hao walipigwa na butwaa kwa kitendo cha Lulu kugharamia bethdei hiyo kiasi kikubwa cha fedha ukilinganisha na kipato chake.

"Kusema kweli Lulu alifanya kufuru ya aina yake, sisi wenyewe hatukuamini kwani viwalo peke yake viligharimu shilingi laki 7 kwa hesabu za haraka.
"Nakwambia tulijiachia, haijawahi kutokea kwani kinywaji cha bei ya chini kabisa kilikuwa ni cha ‘buku' nne," kilisema chanzo hicho ambacho ni rafiki wa karibu wa Lulu aliyehudhuria sherehe hiyo.

Hata hivyo, chanzo hicho kiliongeza kwamba, mpango mzima ulihudhuriwa na mastaa kiduchu huku mama mzazi wa Lulu akiwa hana habari.
Baada ya kuzitia kibindoni ‘nyiuzi' hizo, Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Lulu na kummwagia ishu nzima ‘pwaa' ambapo alidai kuwa hakumbuki kama kilifika kiasi hicho.

Alisema: "Ninachokumbuka mimi niligharamia fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni 2.3, sina hakika kama zilifika ‘em 3'."
Aliendelea kudadavua: "Sikuwaalika wasanii wenzangu wengi kwa sababu siyo marafiki zangu, nimejuana nao kwa ajili ya kazi tu."

Jumapili ya Aprili 17, mwaka huu, Lulu alikuwa akisherehekea kutimiza miaka 18 aliyotimiza katikati ya wiki iliyopita hivyo kutamba kwamba amewanyamazisha watu waliokuwa wakimsema mara kwa mara kuwa haruhusiwi kufanya mambo ya kikubwa.

attachment.php
Lulu.jpg

Aka kabinti watu wameanza kukatafuna bado kadogo, sasa ndio kamepata kibali rasmi hakuna kulala kila siku game
 
Sasa wababa watakuwa hawabaki tena, mana amefikia umri wa kupewa ile kitu roho napenda ...............................................
 
Nani anajua ac yake ya fb?
Nataka nimuhubirie huyu dogo neno la Mungu.
 
nataka nimuhubirie neno la MUNGU sijui nitampatapata vipi?
 
katotoo kadogo sanaaa asee ila mambo yake ndo nomaaa,miaka kumi na nanee no bi ki ra
 
Miaka 18 kama namba tu lakini ki-elimu ya viumbe (Biology) ana miaka 32 sasa!
 
Hivi huyu Lulu ni nani vile?


ahaaaa haaaa kumbe llulu mgawa UC**** heeee na unanii wote kumbe 18 ajafikisha loh atupe na idadi ya watakaomfwata Kinondoni simbaya tukajua!!!
 
Afadhali akue ache utoto

acha utotot na wewe Gaga huyu akue ama azeeke mambo yake we una 12 yrs
sema mwache azeeke jamani itapunguza vihoja vyae ingawa kuna vikongwe wenzake wakina aunt bado wako kama wako na mambo yale mmmh
 
katotoo kadogo sanaaa asee ila mambo yake ndo nomaaa,miaka kumi na nanee no bi ki ra

mdogoooooooooooooooo eeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhh

Funguuuuuuuuuuuuuuuuuaaaaaaaaaaaaaaaaa uoooooneeeeeeeeeeeeeeeeee yaliyooooooooooooooomo ndan iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yake..ukibahatika mkulu rudi utupe salamu za utoto wake
 
attachment.php


Mtoto katulia tuli hana hila wala hiyana na watu kila kukicha wanamsakama kama mpira wa kona mara mdogo ohoo kakimbilia mambo ya kikubwa sasa katimiza miaka kumi na nane sijui mtasema nini.

sasa hivi mpwa hata mimba ruksa wenye kuchimba magodi................,
 
guess miaka mingapi hapa alikuwa nayo nikupe mji??

LULU+Mathew.jpg


LULUnew.jpg


l1.jpg




l3.jpg
 
laiti angelijua......!!!!!!namsikitikia kwakweli
 
yaaani huo mgongo hapo juu kaukosa mbwa tu kuupanda ni aibu kwa wasichana wazuri lakini hili ni fundisho kwa wale wanaokimbilia vicheche kwa miadi ya kuwa na mke mzuri nani kakwambia mke mwemwa hutoka kwa bwana bana ooohhh waulize waliojaza magorofa yao hapo masaki MUME YA KWANZA MKE YA 2 WATOTO YA 3 watakwambia nini mke mwema @@@ kisa umaaarufu tufunguke sana vijana msikmbilie tu just uzuri
 
Back
Top Bottom