Hongera Lulu utafika mbali sana komaa na shule kwa kipindi hiki bado mbichi maana ukikata shule fasta unapata kazi kwa uzuri wako huo ukisubiri hadi uchuje kama alivyochuja Nora imekula kwako,enzi hizo nora alikuwa habare ya mujini.
Hongera Lulu utafika mbali sana komaa na shule kwa kipindi hiki bado mbichi maana ukikata shule fasta unapata kazi kwa uzuri wako huo ukisubiri hadi uchuje kama alivyochuja Nora imekula kwako,enzi hizo nora alikuwa habare ya mujini.
Kweli mjini mipango...
Kabisa, kakosa mabwana anaenda kutafuta wale wanaopata maboom
D mbili na F zote..haha afu eti anasoma certificate...haha kweli mwenye nacho anaongezewa
ili usome certificate lazma uwe na D 4
Hivi unaweza kwenda chuo bila kumaliza form four,maana hata hotel management wanataka umalize cha four au kanunua cheti
anachukua degree
Magogoni ni chuo kilicho anzishwa makusudi na kuwekwa pale kilipo Karibu na ofisi za muhimu za nchi kwa makusudi
Makusudi hayo ni kupendezesha macho ya wenye nchi,pale ni mbugani kwa wenyewe ndio maana course nyingi pale ni zile zinazo pendwa na wadada.
Mwenzenu kaenda mbugani ili awindwe na hilo ni tangazo kwa wawindaji kuwa yeye yupo mbugani ili wajue pa kumpata
Kuna wakala wangu wa umbea pale magogoni ananipaga umbea wa lulu, nasikia ana akili tu ana perform vzur darasan, nasikia katulia kwa kweli
Magogoni ni chuo kilicho anzishwa makusudi na kuwekwa pale kilipo Karibu na ofisi za muhimu za nchi kwa makusudi
Makusudi hayo ni kupendezesha macho ya wenye nchi,pale ni mbugani kwa wenyewe ndio maana course nyingi pale ni zile zinazo pendwa na wadada.
Mwenzenu kaenda mbugani ili awindwe na hilo ni tangazo kwa wawindaji kuwa yeye yupo mbugani ili wajue pa kumpata