Lulu: Diamond hana hadhi ya kuwa na mimi

Lulu: Diamond hana hadhi ya kuwa na mimi

mkuu usi mtusi hujui ana tuwakilisha huyo jamaa
jamani hilo wala sio tusi bali ni sifa tu aliyonayo, kwani mtu ukiambiwa unakifua kipana au miguu minene na ni kukweli utakua umetusiwa?
 
Huyo Lulu mwenyewe mnamtilia manani......anachozungumza leo ikifika kesho hata akumbuki aliongea nini, miaka yake tu mwenyewe hajui....
hahahha we kweli FYATU
 
Domo lile ampate nani? Amezoea kupiga wasio na akili kama yeye tangu nizaliwe sijawahi kuona mwanamuziki limbukeni na malaya kama daimondo
 
Domo lile ampate nani? Amezoea kupiga wasio na akili kama yeye tangu nizaliwe sijawahi kuona mwanamuziki limbukeni na malaya kama daimondo
 
Diamond domo lako kubwa sana bana

Hilo domo ndio wenzako wanalolikosea usingizi.......waulize kina Wolper, Uwoya, wema, Jokate, Aunty......

Sasa weye usiye na domo sijui utakuwa na swaga za level gani mwenzetu......
 
Hata marehem kanumba alisema kaka yake kumbe hahaaa byebyee
 
Lulu bwana!! Hatuwezi kuammini kitu ila mungu mfichua maovu yupo na iko siku atatufunullia ngoja tuendelee kuomba
 
Umeonaaa! Miaka yake tu aliisahau yatakua haya mengine? Sio kakukaamini haka katoto kakubwa
 
Tabu ya kujuwa mambo makubwa akiwa na umri mdogo ndo mwisho wake. Keshasahau segerea alijiact mpk na mimba like movie hahaaa
 
Mh yakweli haya????? Maana wabongo story za kusikia mtu ana hadithiwa utafikiri ana uhakika...
 
Back
Top Bottom