jamani hilo wala sio tusi bali ni sifa tu aliyonayo, kwani mtu ukiambiwa unakifua kipana au miguu minene na ni kukweli utakua umetusiwa?mkuu usi mtusi hujui ana tuwakilisha huyo jamaa
hahahha we kweli FYATUHuyo Lulu mwenyewe mnamtilia manani......anachozungumza leo ikifika kesho hata akumbuki aliongea nini, miaka yake tu mwenyewe hajui....
Diamond domo lako kubwa sana bana
Diamond domo lako kubwa sana bana
diamond domo lako kubwa sana bana
Hata marehem kanumba alisema kaka yake kumbe hahaaa byebyee