Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh kumbe alimalizaga form four..
Chuo cha utumishi magogoni.Huyu mtoto kasoma Diploma lini?
Mlioko Daslam majibu Tafadhali...
Kwahyo sasa anaenda kusoma Digrii IFM baada ya kusoma chuo cha utumishi?Chuo cha utumishi magogoni.
Kaipatia gerezani kwa maaskari jela![emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] warumi acha dhihaka...lulu na diploma lini hiyo?
Uzuri "Dad" ni expert wa hiyo michongo.Kuwa na bahati mkuu hata ukizungusha degree utaipata tu
Baada ya Lulu kuhitimu diploma kutoka kile chuo kiitwacho "the Big house of inmates "?Kwa hiyo ameanza mafunzo mapya ya juu zaidi kwenye chuo cha "EFM " akiitwa "the best student of life " in higher faculty of motherhoodness"?Nimekuelewa halafu nimecheka sana. 😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏Tunaambiwa , baada ya muigizaji lulu
Michael aka lulu , kumaliza diploma aliyokua anasomea, sasa hvi amejiunga kwenye chuo cha IFM akichukua degree . Safi sana lulu , beauty with brain , Mungu akutangulie
MahabaDuuuh kumbe alimalizaga form four..
amesoma bwana pale TPSC magogoni kamemaliza diploma mwaka juziHuyu mtoto kasoma Diploma lini?
Mlioko Daslam majibu Tafadhali...
Baada ya Lulu kuhitimu diploma kutoka kile chuo kiitwacho "the Big house of inmates "?Kwa hiyo ameanza mafunzo mapya ya juu zaidi kwenye chuo cha "EFM " akiitwa "the best student of life " in higher faculty of motherhoodness"?Nimekuelewa halafu nimecheka sana. 😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏