Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Kumbe ww unajua kuna wengine kubisha tualisoma kweli TPSC.... alifanya diploma ya human resources alianzia cheti.... alisoma na dogo wa braza angu pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ww unajua kuna wengine kubisha tualisoma kweli TPSC.... alifanya diploma ya human resources alianzia cheti.... alisoma na dogo wa braza angu pale
hahah... kawaida yetu watz kuchukuliana poa....Kumbe ww unajua kuna wengine kubisha tu
Nashangaa sana watu wanabishaga tu hawajui hawataki kuuliza wajuehahah... kawaida yetu watz kuchukuliana poa....
na ndio maana ni tz pekee ambapo kila kijana mwenye hela anaitwa muuza madawa ...
tena wanabisha na kashfa juuNashangaa sana watu wanabishaga tu hawajui hawataki kuuliza wajue
Ajabu sana hiitena wanabisha na kashfa juu
Ha ha ha[emoji23] anasubiri kupata first classUzuri "Dad" ni expert wa hiyo michongo.
Sahihi[emoji23]Mimi kama lecturer wa pale ifm nitahakikisha lazima nimtie kupitia somo langu
Pole nyingi sana kwa bwana majizo
Wema anakosa degree kweli ?Wakina wolper, wema , hamisa hawana habare na shule wao [emoji533] kudanga tu , khaa kazi wanayo
Tunaambiwa , baada ya muigizaji lulu Michael aka lulu , kumaliza diploma aliyokua anasomea, sasa hvi amejiunga kwenye chuo cha IFM akichukua degree . Safi sana lulu , beauty with brain , Mungu akutangulie
AnayoWema anakosa degree kweli ?
NingeshangaaAnayo
Yule dada ana English Kali sana! Mi nawaza kile KiEnglish anakitumia mpk kitandani ama ni kwenye Press tu?Ningeshangaa
Na ile English plus mzee wake alikua balozi
Ha Ha Ha lazima na kitandaniYule dada ana English Kali sana! Mi nawaza kile KiEnglish anakitumia mpk kitandani ama ni kwenye Press tu?
Daaah! Avute subira tunaweza kukopy na kupaste ile sheria ya South AfricaHa Ha Ha lazima na kitandani
Ila inasemekana kabla y mechi anavuta bangi kwanza
Wachezaji wetu wakilivuta wanakuwa na vibes km lote.... Hv demu akivuta anakuwaje? Hui Uzi Almas unamuhusu!Ha Ha Ha lazima na kitandani
Ila inasemekana kabla y mechi anavuta bangi kwanza
Akivuta makelele kama yoteWachezaji wetu wakilivuta wanakuwa na vibes km lote.... Hv demu akivuta anakuwaje? Hui Uzi Almas unamuhusu!
Ohoooo!!!haya mabangi kajifunzia wapi huyu binti?Ha Ha Ha lazima na kitandani
Ila inasemekana kabla y mechi anavuta bangi kwanza
Inawezekana alikua na bwana mvutaji.Ohoooo!!!haya mabangi kajifunzia wapi huyu binti?