Akikujibu hii unitagWewe je?
Tessa!!!???? ujue duka ni plan bMie nasubiri harusi
Muigizaji maarufu bongo , ambaye pia linapokuja suala la fashion huwa hakosei, kupitia ukurasa wake wa instagram , ametangaza ujio wa collection yake mpya ambayo ameipa jina la EM collection , ambapo ametangaza kuzindua duka lake jipya la nguo hivi karibuni.View attachment 1134297
Harusi imebuma baada ya jamaa kumega?Muigizaji maarufu bongo , ambaye pia linapokuja suala la fashion huwa hakosei, kupitia ukurasa wake wa instagram , ametangaza ujio wa collection yake mpya ambayo ameipa jina la EM collection , ambapo ametangaza kuzindua duka lake jipya la nguo hivi karibuni.View attachment 1134297
Ni biashara gani ambayo haipo kila sehemu??Biashara ya nguo inaingiliwa.
Kila mtu sasa anauza nguo
Kila kona kuna maduka ya nguo sio kkoo..kinondoni...sinza..tabata etc
Utafikiri watanzania tunatembea uchi!!Biashara ya nguo inaingiliwa.
Kila mtu sasa anauza nguo
Kila kona kuna maduka ya nguo sio kkoo..kinondoni...sinza..tabata etc
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utafikiri watanzania tunatembea uchi!!