Lulu michael: Nipo Single, Sina stress

Anataka kum force Majizo amuoe haraka maana wale kina Dozen wanamnyima usingizi, ila nae ana roho aisee haogopi kuna wakati nae ataambiwa nyuma geuka?! maana nasikia mtu akizoea haachi.
Mkuu umeongea kimafumbo hapo akizoea kitu gani hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…