"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-Thats Lulu " Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael Lulu aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
Daraja la uchamungu unaweza kulifikia ikiwa utamcha mungu kwa dhati ya nafsi yako, lakini leo unasema wewe mcha mungu kesho unasema goli lako huwa halilali na njaa! aaah