Toba YaRabbiSasa hivi sasa kuna kitu kinaitwa " pumbu erosion" asee hii kitu isikie tuu, utatamani uyang'oeπ
Pumbu erosion imekaaje hiiπ€Toba YaRabbi
Nilidhani baada ya Soil erosion tungekuwa tumemaliza, kumbe kuna Pumbu erosion tena?ππ
Hata Tittle sijai-defend japo hofu yangu ni huu Uzee, nadhani hoja hii tuwaachie Vijana tu π€Babu nipe mrejesho
Mwenyewe ndiyo nimesikia humu kwa mara ya kwanzaPumbu erosion imekaaje hiiπ€
Hajakutisha ila ulipaswa kutumia code kama vile Warumi alivyokua anafanya, hapo umewataja hadharani kabisa...Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.
Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.
Htr ya mpasuko wa fungus kwenyewπMwenyewe ndiyo nimesikia humu kwa mara ya kwanza
Nifah, umeonesha immaturity ya hali ya juu. Hizi ni tuhuma nzito sana zinazoweza kupelekea mgogoro mkubwa sana wa kindoa. Ulipaswa utumie codes na si utambulisho wa majina yao. Enzi hizo moderators wangeshafuta uzi huu kwa sababu ya name calling.Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.
Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.
Waambie tuMatope matope matope.
Aliyegundua huu ufirauni kokote alipo ajue kwamba anatuharibia vizazi.
Inakuwaje mtu anakuwa addicted kupakua na kupakuliwa.
How comes?????
Imani ipo lkn je! Ni nani huyo atakua?Anza safari kwa imani, utampata.
Huuuuu ni uchafu tena uchafu uliokuwa mkubwa.Waambie tu
Wewe amini hivyo Babu, mambo yamebadilika.Usifanye Babu yenu nianze kufanya research juu ya hilo, japo wasiwasi wangu ni kipengele cha kukusanya Data maana na huu Uzee nahisi kazi itanishinda π€πββοΈπββοΈπββοΈ
Kila mtu ana namna yake Mkuu, sijawahi kuandika kwa code hata siku moja.Hajakutisha ila ulipaswa kutumia code kama vile Warumi alivyokua anafanya, hapo umewataja hadharani kabisa...
Imagine Majizo anaona hili andiko atajisikiaje? Ndoa itakua salama?
Ndio enzi hizo sasa sio zama hizi, uzi si unauona bado upo?Nifah, umeonesha immaturity ya hali ya juu. Hizi ni tuhuma nzito sana zinazoweza kupelekea mgogoro mkubwa sana wa kindoa. Ulipaswa utumie codes na si utambulisho wa majina yao. Enzi hizo moderators wangeshafuta uzi huu kwa sababu ya name calling.
2024 mashangazi wengi watalia njaa. Namba E watakuwa wengi mno. Labda wale mashangazi maarufu na wanaoenda kimataifa kama akina misa ndio watasurvive. Huyo misa kashakuwa wa kimataifa na huduma ni ya kimataifa mpaka Rick Ross analegea mwenyewe π€£π€£π€£.Kwani kutakuwa na nini 2024 jamani? Mbona unanirusha roho?
Niambie mbea mimi nijiandae.
Gym ni mbinu ya kimasoko inayonasa mwanaume kiurahisi. Na vile vitight vya gym vinavyochoresha K na tako na jasho likipita huko linalowanisha na kuchoresha kabisa, ni vigumu sana mwanaume kukaza π€£Hata Madam Rita alimpataga Mzee Mengi kwasababu hiyo ya kwenda Gym na K Lynn yeye mitego yake ilikuwa kwenye mahoteli ya nyota tano tu this was long time ago.