Lulu na Wolper ni wakopaji maarufu

Tatizo wanapenda sana mambo makubwa na kujionesha kusipokuwa na faida yoyote

unaambiwa wakati mwingine wanapewa za kufanyia matangazo...sasa mwingine akiona hivyo anajua ndio maisha anaiga kumbe ni mikopo na matangazo
 
leta zako za ukweli. Nyie kopeni tu bila kulipa kuna siku mtabandikwa kwenye mbao za matangazo za manispaa shauri yenu

Mimi najua Lulu na Wolper hawawezi kudaiwa madeni ya saluni na nguo.
Lete evidence......!!!!
 
Mimi najua Lulu na Wolper hawawezi kudaiwa madeni ya saluni na nguo.
Lete evidence......!!!!

wewe ni wolper au lulu. Huna haja ya kujitetea ILA ndo hivyo. Kwa masikio yangu nimewasikia wenye saluni na maduka Yao wakilalamika. Upo hapo???
 
unaambiwa wakati mwingine wanapewa za kufanyia matangazo...sasa mwingine akiona hivyo anajua ndio maisha anaiga kumbe ni mikopo na matangazo

teh teh, hivi lulu jamaa yake (sarungi wa TMT) ameshindwa kumhudumia hadi anakopa nguo, saluni na kuchongwa kucha
 
wewe ni wolper au lulu. Huna haja ya kujitetea ILA ndo hivyo. Kwa masikio yangu nimewasikia wenye saluni na maduka Yao wakilalamika. Upo hapo???

Sasa mtu kusikia analalamika ndo kunakufanya uanzishe thread kuwakashifu wanawake wenzio?????

Hapo hakuna evidence bali ni rumours tu.
Mods ebu ondoeni hii thread plzzzz.

Status ya Lulu au Wolper ni kubwa mno na cyo ya kudaiwa vi laki tano vya saluni na maduka ya nguo.
 
ulieketa mada mwenyewe unaishi kwa mkopo hivyo uko kutafuta wafuasi wako na it sims huna majukumu ya kukukeep busy aisee maana usingepata mda wa kufatilia maisha ya mtu
 
Hivi kuuza K siku hizi ni status? thibitisha wewe hapa kama hawadaiwi usituletee hadithi za rejareja kama kibogoyo.
 
Maintaining status ! Ujinga Mtupu , huyo Wolper alijitangaza kwa Sporah anashonea Weaving la Milioni Mbili ! usawa huu ! ! Mnachekesha sana Bandugu:hatari:!
 
Hivi kuuza K siku hizi ni status? thibitisha wewe hapa kama hawadaiwi usituletee hadithi za rejareja kama kibogoyo.

Hivi mbona unaoenda kushuhudia uongo mdau?????
Wapo wanawake wanaouza K lakn si Lulu na Walper.
 

Wolper ana status gani nchini
 
ulieketa mada mwenyewe unaishi kwa mkopo hivyo uko kutafuta wafuasi wako na it sims huna majukumu ya kukukeep busy aisee maana usingepata mda wa kufatilia maisha ya mtu
We usiefwatilia ya watu unafanya nini hapa?
 

kuuza tigo kumbe nayo status?? Me niko dunia nyingine kumbe
 
Hivi mbona unaoenda kushuhudia uongo mdau?????
Wapo wanawake wanaouza K lakn si Lulu na Walper.

Mama yangu weeeeeeeee!!

Hivi wewe unaishi mji gani? hawa siyo kuuza K tu hata tigo wanauza
 
Mama yangu weeeeeeeee!!

Hivi wewe unaishi mji gani? hawa siyo kuuza K tu hata tigo wanauza

Acha kuishi kwa hisia wewe!!!
Unaweza kuthibitisha hayo unayoyasema?????
Wolper na Lulu wamewahi kukuuzia hizo K?????
 
hahahahaha shikamoo kamanda

Ujambo Mrembo? yaani hili jinga linaleta utetezi wa mavi kunuka wakati hajui huyo Kapteni Komba ndio mdau wa Lulu yeye mwenyewe ana madeni hadi kwenye kijambio mpaka shule yake imepigwa mnada huyo Lulu pesa apate wapi?

Asichokielewa huyu usanii kwao ni kama Cover story tu ya kutakatishia pesa za kuuza K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…