Lulu na Wolper ni wakopaji maarufu

Lulu na Wolper ni wakopaji maarufu

Toka awe na baba ubaya hatujasikia akiwatunza wasanii jukwaani kawa mpole kweli

ndio hivyo shoga yangu wema lazima akae tulii anyolewe. yani amekuwa mstaarabu, heshima yani vyote yeye...kumbe mbuzi amepelekwa kibra akaliwa siku ya idi
 
kwa ufupi bila mabuzi mjini hakukaliki kwa hawa wasanii wenu. muone shoga yangu wema alivyokuwa mpole, no more show off za kutapanya hela toka buzi clement likate kamba

ndo zao hizo mi wapenda show off wote!!
always.cheap is costing..!!
mfano lulu mtoto mdogo wa miaka21 ila ye ndo analisha familia kwa kazi gani?
au films hizo wanalipwa sh
ngapi labda?!
 
Kuna siku alikuwa anahojiwa na Sporah anasema eti anabadili nywele za dola 2000 mara 2 hadi 3 kwa mwezi...toka hapo nilimdharau saaana...yani ana invest kichwani....

Afu anajisifu mimi mwanamke kuongwa ni kawaida mxuuuuu....

Ningekuwa nina mtoto wa kike ningempiga marufuku kuangalia hawa mastaa wa bongo...wanaweza kupotosha vibaya sana...

Afu ana mdomo mchafu...anaongea full kutukana...kweli hakuna star bongo...star unatakiwa uwe na staa...



tena wolper naskia anafanya kujitongozesha kwa wauza sembe ili walau ahongwe...chezea mji wewe
 
Nawewe uliyeuliza umesemwa wewe au ni kiherehere cha kwapa??

hahahaaaaa..!!
wakiambiwa ukweli wapambe wao wanawaka hao hatariii..!!!!
mtu hana elimu,hana kazi ya maana hapa mjin,hana biashara,kwao choka mbaya,kwa movie gani za kumiliki gari ya 40mils?
au kushonea wiving kila siku?
bora mwenzao JOKATE hata km ana yake but watu wanajua kazi zake
hao wengine mjini msingi kiunooooo..m!!!!!
 
Nawewe uliyeuliza umesemwa wewe au ni kiherehere cha kwapa??

Nimeuliza kwa sababu ya kutafuta uthibitisho juu ya huu uzushi uliojaa wivu,ujinga,unafiki na uchawi....mie nna kiherehere cha pumb ukitaka sema nikuchape nao.
 
kwa status kubwa gani walizokua nazo Tanzania la za kuuza papuchà.mbona unashangaza hivyo.wanuka mikojo hawa hebu acha kuwapandisha kijinga
Sasa mtu kusikia analalamika ndo kunakufanya uanzishe thread kuwakashifu wanawake wenzio?????

Hapo hakuna evidence bali ni rumours tu.
Mods ebu ondoeni hii thread plzzzz.

Status ya Lulu au Wolper ni kubwa mno na cyo ya kudaiwa vi laki tano vya saluni na maduka ya nguo.
 
Nimeuliza kwa sababu ya kutafuta uthibitisho juu ya huu uzushi uliojaa wivu,ujinga,unafiki na uchawi....mie nna kiherehere cha pumb ukitaka sema nikuchape nao.

Acha kujitia usakala wewe,au akili zako ndo zimekaa huko kwenye mambupu??Kwa usanii gani unaowapa pesa za kuishi maisha ya anasa kiasi hicho?Wangekuwa na hela wangeogelea skendo za ukahaba kila siku?Nina mashaka unasagwa na Wolper sio bure mwanaume anaejielewa kutetea ujinga.Tunajua madanga ndo yanawaweka mjini sio kazi.
 
Back
Top Bottom