upele
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 364
- 31
Wakati lulu akiachiliwa kwa dhaman ana ponda kuendelea kusota jela na mahakama kushindwa kutoa maamuzi ya kina kuhusu kosa la ponda je hii imekaaje wana jf, mbona tunataka tufika siko na kufanya waislamu waonekane wabaya
"ponda aachiliwe kosa lake halijulikani na lulu nae vipi"
"ponda aachiliwe kosa lake halijulikani na lulu nae vipi"