Lulu sasa abadilishiwa mashtaka

Ukweli mtupu Counsel
Na kimsingi hilo lungu alilopewa DPP ni kubwa mno... la kuweza kuondoa au kubadiri shitaka mahakamani???!! daah! Itabidi tulipigie kelele, limekaa kikoloni zaidi. Na bahati mbaya likimkuta DPP kichwa kibovu... Mmmmhh!
 
Hvi katika hali ya kawaida nani anafurahi hichi kitoto kukaaa gerezani? Wamdhamini tu aanza kuishi adhabu aliyonayo moyon mwake inamtosha sana. Wangekuwa walikuwa na uadui tungesema alifurahia kifo cha Kanumba lakini walikuwa wapenzi so kilichotokea ni mambo ya kawaida katika mapenzi hasa unapoongeza na ukweli kuwa walikuwa wamekunywa pombe tena pombe kali.
 
mbona hiyo kitu iko wazi kwa maelezo huyu mtu wasema alianguka baada ya kusukumwa it is obvious aliua bila kukusudia
 
Watu walimuhukumu huyu dogo bila kujua taratibu zippoje. Hivi kwa maelezo ya daktari mbona swala lilikua linaelekea huko. Mapenzi yenu kwa kanumba yaliwapeleka mbali kiasi cha kumuhukumu huyu binti kabla ya mahakama.
 
Hivi mtu na mkewe,hawaishi kwa upendo,amani na kuvumiliana?
Lakini si huwa inatokea mikwaruzo? Wanaweza hata kutwangana.. Na wasisemeshane. Ila anapoumia mmojawapo kufikia kulazwa labda,hata kama yeye ndiyo chanzo cha ugomvi,jamii humwona aliyesababisha kulazwa ndiyo mkosaji,na si aliyesababisha ugomvi wenyewe.
Ni sawa na mfano wa ajali ya mwenda kwa miguu na gari. Wa miguu aweza kuwa msababishaji wa ajali,lakini wa gari anaweza kuumizwa na wananchi.
 

Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya kesi ya Ditopile na ya Lulu.. Ditopile alitoa silaha ambayo inajulikana kuwa na kitu kinachoitwa safety pin.. Akaiweka on kitendo kinachotoa bahati mbaya katika tukio zima.. Kilichomtoa Ditopile ni upindishaji wa makusudi na wazi kabisa wa sheria..

Kwa upande mwingine kwenye kesi ya Lulu kwanza hakukuwa na matumizi ya silaha kwenye tukio.. Kwa mujibu ya maelezo ya Askari ni kuwepo na kashi kashi kati ya Lulu na Kanumba.. Kwa kuwa marehemu hakukutwa na jeraha lilisobabishwa na kitu chenye ncha kali baci ilionekana kulikuwa na commotion.. Mazingira ya tukio zima kuwa la mauaji ambayo sio ya kukusudiwa yalianzia hapo..

Kwangu mie ninaona uamuzi wa DPP umechelewa sana.. Hii (kutokana na mazingira na habari zilizotolewa na Police) ilikuwa ni Homicide without malice aforethought..
 
Akitoka ntatamani nimuone. Atakavyokuwa mpole. Ataheshimu kila mtu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Kwa hiyo hoja ni uharaka ama kukidhi vigezo vya kuwa manslaughter?
 
wewe kwa maoni yako unadhani lulu atakuwa alikusudia kumuua kanumba?
 
na unavyompenda lulu, unatamani kweli atoke ili uendelee kutazama filamu zake!!
mimi niambie kulisha kuku na kulima mboga ntkuelewa .filamu, muziki ,tv mbali sana na mie niliposikis lulu niligoogle ndio nikamjua ,sharo milionea hata nilikuwa simjui niligoogle na nikamendea kuona lile tangazo .watching sio fan yangu
 
mwacheni mtoto aje aendelee kutupa raha japokuwa tulikuwa tunakuls yule aliye kuwa anajiita pacha wake kwenye filam a family dissaster owke welcome hny nilikufungulia account yako kabisa
 
Sio mbaya,kwa muda aliokaa mahabusu sijui rumande, angalau atakua amejifunza kitu! Upepo ulikua unaelekea huku kwenye kuua bila kukusudia!
 
mimi niambie kulisha kuku na kulima mboga ntkuelewa .filamu, muziki ,tv mbali sana na mie niliposikis lulu niligoogle ndio nikamjua ,sharo milionea hata nilikuwa simjui niligoogle na nikamendea kuona lile tangazo .watching sio fan yangu
Mwongo wewe, avata yako yenyewe inaonyesha kuwa wewe ni mtu wa tom and Jerry kwa sana, au hiyo nayo unaangaliaga kwenye ndoo za maji ya kuku?
 
Sio mbaya,kwa muda aliokaa mahabusu sijui rumande, angalau atakua amejifunza kitu! Upepo ulikua unaelekea huku kwenye kuua bila kukusudia!

Na ndiyo ilivyo.. Hajaua,ila kasababisha kifo bila kukusudia.
Haikugundulika sumu, wala jeraha,na aliyesababisha kifo NIA ya kutekeleza mauaji haikuonekana.
 
Atapigwa kifungo cha nje. Naona atakua amenona kweli, chezea ugali na mandondo!


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
katika watu ambao wana power kubwa ktk nchi zetu za dunia ya tatu basi ni DPP, its unbelievable yeye anaweza kuamua kumshtaki au kutomshtaki mtu yoyote alafu funny enough hakuna wa kumuuliza!!!!
 
mh mtoto wa uswahilini yule ataendelea tu na vibweka vyake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…