Lulu sasa alia kuchafuliwa

Lulu sasa alia kuchafuliwa

Status
Not open for further replies.
Sidhani hata shule St Marys form 4 kamaliza huyu... Fainali uzeeni...
 
jamaa yako ana ukimwi tayari

Nadhani si kitu cha busara kumsema huyu bint hivyo hapo kwenye red. Haya ni maisha na hakuna anayeweza kujua kesho atakua na tatizo gani!
kwa kweli mimi naami ni swala na umri tu na kinachotakiwa ni kusaidiana kumwonya LULU kama wanajamii na si kuyasema hayo.

MTOTO WA MWENZIO NI WAKO JAMANI!!!!
 
[TABLE="width: 650, align: center"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="class: headline, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: headline, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: headline, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: storyheader, bgcolor: #FFFFFF, align: left"] [TABLE="width: 51%, align: left"]
[TR]
[TD="align: center"]
7384.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: mwanacss, bgcolor: #B47C01, align: left"]Miss Lulu
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mwandishi gani wa habari kamchafua hizi kucha?
 
ata asilie hajachafuliwa na mtu, kajichafua mwenyewe kwa tabia zake za ajbu.
 
Kiukweli kapo sexy but kalitakiwa kamalize skul ndo kafakamie starehe
 
Lulu hataweza kufanya chochote cha maana kama hatabadilika na kumrudia muumba wake. Watoto siku hizi wamekuwa wakibadilika kwa kuacha mafundisho ya dini na kufata mambo ya dunia. Wazazi tuna umuhimu wa kuwalea watoto wetu ktk maadili yenye kumpendeza Mungu. Unapomruhusu mtoto kwenda disco tangu akiwa mdogo mpaka anakua hivi unategemea nini? Mtoto anakunywa pombe na mzazi anaona ni kitu cha kawaida then akiwa mzinzi na mlevi utamlaumu? Mi naona kazi za Lulu ni mbili tu, DINI na ELIMU fullstop vinginevyo atakuwa anapotoka na kuaibika kila siku.
 
wako wapi NORA, SINTA, NINA, binti ajichunge sana atapotea badala ya kufanya mambo ya msingi anakalia ushangingi na uma....
Ninachomshauri azingatie Shule tu zaidi ya hapo Misosi, Mitungi,Pamba na kwenda club vyote hivyo huchuja lakini akili kichwani huwa hazichuji wala kupotea
 
Huyu lulu ndio nani?kachafuliwa wapi,mbona mi sijawahi kuona hata kwenye gazeti.
 
Ndugu huyu tumshauri nini bwana, anajua kila kitu huyu na hashauriki kabisaaaaaa.Nasikia anatoa tigo na ni fundi wa kunyonya mashine mbyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
jamaa yako ana ukimwi tayari

Duuu!mkuu mbona tunatishana?huyu mtoto huwa napishana nae mahakamani mkinondoni nikiwa na kesi za wateja,ananivutia sana,nataka nimuombe awe mamsap........si unajua nimekuwa singo mkitambo hadi majirani waninihisi.......................
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom