Lulu: Sijawahi kuwa mweusi, rangi ya Mtume nimezaliwa nayo

Hiyo picha ina uzamani gani?Aweke ya utoto ndio tupime kama kuna ukweli sio hiyo ambayo alikua ameshaanza kubanjuka na Kanumba.

Hakakua keusi..ila pia hakakua keupe
 
Atakuwa kaona picha ya yesu huyu maana yesu nai ni mweupe
 
Mungu weeeeeeeeehhhh hiki kitoto kinakoelekea sijui kwakweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…