warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Zile taarifa zilizoenea kuhusu fumanizi la Msanii wa bongo fleva, Young dee na nyota wa filamu Elizabeth michael "Lulu" wamebambwa na polisi wakivunja amri ya sita ndani ya gari aina ya hyundai, mbezi beach,tukio lililojaa utata mtupu
YOUNG DEE: Ni kweli nimezisikia izo habari,lakini ishu hiyo siyo ya kweli, bali imezushwa na watu wenye lengo la kuniaribia jina mbele ya jamii, isitoshe nina kama mwezi sijaonana na Lulu, huku ni kutaka kuchafuliana majina tu.
LULU: Kweli nimesikia ishu kama hiyo ila kinachonishangaza na kunisikitisha ni kwamba siku hiyo ya tukio inayotajwa mimi nilikuwa nyumbani na siku nzima sikutoka kwenda popote, hata hiyo mbezi iliyotajwa mimi siielewi kabisa, hata lile gari mimi sina gari la aina hiyo na wala sijawahi kulipanda gari hilo na huyo Young Dee nina mda mrefu sijaonana nae, usiku wa kuamkia leo nilimpigia mtangazaji mmoja ambaye alirusha hiyo habari redioni, nikataka kujua amepata wapi habari hiyo?, akanijbu kuwa amezipata tetesi tu. Sasa kama ni tetesi kwa nini asingechunguza kabla ya kuniaribia jina?. Yaani naomba ieleweke kuwa sijafumaniwa na siwezi kufumaniwa na mtu kama YOUNG DEE maana hata sijawahi kukutana nae ivi karibuni,sipendi kuchafuliwa na haya yote namuachia mungu.
YOUNG DEE: Ni kweli nimezisikia izo habari,lakini ishu hiyo siyo ya kweli, bali imezushwa na watu wenye lengo la kuniaribia jina mbele ya jamii, isitoshe nina kama mwezi sijaonana na Lulu, huku ni kutaka kuchafuliana majina tu.
LULU: Kweli nimesikia ishu kama hiyo ila kinachonishangaza na kunisikitisha ni kwamba siku hiyo ya tukio inayotajwa mimi nilikuwa nyumbani na siku nzima sikutoka kwenda popote, hata hiyo mbezi iliyotajwa mimi siielewi kabisa, hata lile gari mimi sina gari la aina hiyo na wala sijawahi kulipanda gari hilo na huyo Young Dee nina mda mrefu sijaonana nae, usiku wa kuamkia leo nilimpigia mtangazaji mmoja ambaye alirusha hiyo habari redioni, nikataka kujua amepata wapi habari hiyo?, akanijbu kuwa amezipata tetesi tu. Sasa kama ni tetesi kwa nini asingechunguza kabla ya kuniaribia jina?. Yaani naomba ieleweke kuwa sijafumaniwa na siwezi kufumaniwa na mtu kama YOUNG DEE maana hata sijawahi kukutana nae ivi karibuni,sipendi kuchafuliwa na haya yote namuachia mungu.