Lulu:Siwezi kufumaniwa na mtu kama Young Dee

Lulu:Siwezi kufumaniwa na mtu kama Young Dee

huyu dogo c nackia anachukuliwa na mheshimiwa ndo anamlinda apa mjini so ilo gazeti lazima alimaind maana linataka kumwagia unga!!!

Sio muheshimiwa ni mtoto wa muheshimiwa
 
Shangaa na we mpenzi atuwaache!!!! halaf kuanzia kesho tuanze kutoa thread kwa kichina maana wanaringa na kiingereza chao na sie tuitumie lugha tunayoijua bana,maana hatukwenda china kushangaa maghorofa wala kusugua masufuria tuu

Atuache tulale si eti eeh???
 
Wala anabisha tu young d anamtafuna toka yupo na Kanumba,halaf young d bonge la handsome ana nin asiliwe kama komba kala sembuse wengine
Halaf muongo kweli huyu lulu chochote anachoongea sikiamini kabisaaa

Kwa hiyo badala ya mm kumuita sintah baby face na wewe umeamua kumuita yound dee handsome? Sawa bwana
 
Kwa hiyo badala ya mm kumuita sintah baby face na wewe umeamua kumuita yound dee handsome? Sawa bwana

Jamani nilikua namuelezea tu rafiki yangu kuna mtu alikua anasema et young d ni hb na mi nikamwambia hawezi kumfikia warumi,
Hakufukiii wewe hata sio mzuri aaaaarfgggg kabayaa
 
mmh ukute hii ya kweli.. maana hawawez kukuzushia from no where.. dogo (lulu) hajatulia kbs!! afu vya kwenye gari vnakuwaga vtamuje????
napita tu!
Unapita unaenda wapi ww?
 
Wala anabisha tu young d anamtafuna toka yupo na Kanumba,halaf young d bonge la handsome ana nin asiliwe kama komba kala sembuse wengine
Halaf muongo kweli huyu lulu chochote anachoongea sikiamini kabisaaa

wanawapata nyie wenye mda mchafu mnaosikiliza ujinga
 
Hv huyo lulu cjui,anasoma kwel au ndo muigizaji even in realities? Shame upon that young lady
 
Back
Top Bottom